Wakuu, Machi 29 niliweka habari hapa ya kuomba msaada wa kujua Daktari Bingwa ambaye angeweza kuwa msaada kumtibu baba yetu - https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/425631-msaada-wa-daktari-bingwa.html?highlight=.
Nasikitika sana yule baba yetu huyo kafariki baada ya kumpeleka Muhimibili kwa...
Ahsante sana mkuu, tumempeleka leo asubuhi muhimbili wamemuwekea dripu wamemlaza, ila me ni mgeni kidogo pale muhimbili fast track ndio sehemu gani hapo
Wakuu tuna baba yetu anatatizo la kuvimba miguu na tumbo kujaa na moyo unamatatizo pia hali kabisa chakula, sasa tumepima hospital wamesema figo zinamatatizo pia tumboni kumejaa maji so inabidi tukanyonye hayo hospital, sasa kama kuna mtu anamfahamu dokta ambaye ni bingwa kwa mambo hayo na...
Mkuu hapo hujaweka kwenye vocha za simu kila mtu achangie sh 50 alafu kwenye mpesa, tigo pesa na airtel money kila mtu akitoa na kuweka achangie sh 100 undhani haiwezekani aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.