Kwa akili yako, basi upinzani wote duniani haufai, sivyo?
Sababu ya Magufuli kutengeneza reli, kununua ndege, kutengeneza barabara, kugundua wafanyakazi hewa, kupambana na ufisadi, n.k. ni kutokana na shinikizo la upinzani. Kama upinzani husingekuwepo wa wakina Lissu, Mbowe na Zitto ccm hisinge...