davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Habari Wana jamvi, nimekuja kwenu kupata suluhisho la tatizo linalosumbua nyumbani kwangu.
Kuna lile tanki la maji taka linalokusunya uchafu kutoka chooni na bafuni ambalo sasa limekuwa kero.
Siku za nyuma niliweka bomba fupi tu na bado bomba halikuwa linatoa harufu lakini kwa siku za usoni hali ilibadilika. Niliamua kuweka bomba refu zaidi lakini hali bado kwani harufu bado inaingia ndani hasa madirisha yakiwa wazi.
Nini nifanye ili kuepukana na hali hii? Je, kuna jambo naweza kufanya ili kupunguza au kuondoa kabisa harufu hii ambayo imeanza kuwa kero kwa majirani pia?
Kuna lile tanki la maji taka linalokusunya uchafu kutoka chooni na bafuni ambalo sasa limekuwa kero.
Siku za nyuma niliweka bomba fupi tu na bado bomba halikuwa linatoa harufu lakini kwa siku za usoni hali ilibadilika. Niliamua kuweka bomba refu zaidi lakini hali bado kwani harufu bado inaingia ndani hasa madirisha yakiwa wazi.
Nini nifanye ili kuepukana na hali hii? Je, kuna jambo naweza kufanya ili kupunguza au kuondoa kabisa harufu hii ambayo imeanza kuwa kero kwa majirani pia?