Umenikumbusha mmoja ivi maana nafanya nao kazi hao watu aseee acha tu, nilimuacha baada ya kusema nimuoe na mm nimeamua kua single faza, tangu apo siwataki tena ila ukweli ni kwamba manesi wanafanya vzr kuanzia usafi na wengi ni wazuri sana km uyu ninae mzungumzia ni shida.
Nawasalimu kwa jina la JMT, wakuu poleni kwa yaliotukia kuhusu mwaka mpya wa serikali naamini mama ameyasikia na watayafanyia kazi.
Wakuu kwa heshima na taadhima naomba mnisaidie kupata mitindo mizuri ya shati la kitenge maana ninataka kushona hii kitu maana nimetokea kuvutiwa nayo.
Thanks in...
Kwenye kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba mwanamke akicheat na ukajihakikishia huo ndio unakua mwisho wa ndoa, kwa undezi huu subir kufa kwa HIV pia kulea watoto wasio wakwako, pambafu we, swine.
Singo faza fo laifu.
Upon vzr mkuu izi movies zote nimeziangalia kwakweli unajua muvi mzr kaka hata mm nazipenda hasa iyo uliyoielezea apo duuuh yule manzi sio wa nchi hii mweee!
Bro acha kuamini war propaganda USA wenyewe walitoa takwimu kuonyesha Russia aijatumia hata 20% ya nguvu zake kijeshi kwahyo acha kuwatukana Russia sio mchezo bro, remind u Russia ana silaha za nuclear nyingi kuliko nchi yoyote duniani.
Naona huu Uzi ni derivatives za ule wa riki boy.
Kwanza naoma mnisamehe bure wajuba maana hii kitu kwakweli ata mm inaniumiza sana nikikumbuka.
Miaka hyoo npo A level nimerudi kitaa likizo nikamkuta mtoto was bibi mdogo kaja nae likizo kwa bibi yetu ambapo mm pia ndio naishi apo, sasa kukaa cku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.