Recent content by UWOGA=UMASKINI

  1. U

    Cheating kwa miaka 7

    asante sana kwa majibu yako mazuri ila kaomba msamaha kweli sana tena ameshika hadi kuruani kuapa kuwa huyo jamaa hata zamani hajatembea naye ila alikuwa anamtaka sana ila waliwasiliana jumbe nyingi za mapenzi ila ameomba msamaha na amesem hatorudia tena kufanya mawasiliano naye na hata...
  2. U

    Nahitaji vifaa hivi vya gari kwa mwenye navyo

    Wadau nataka taabya mbele kubwa ya spacio new model upande wa kushoto,bampa la mbele zima,side mirrow kushoto, kioo cha mbele na kijioo kile kidogo cha kushoto. KAMA UKO UNAWEZA PATA NITAFUTE NIKUPATIE PESA
  3. U

    Cheating kwa miaka 7

    ndo naona kinachoenda kutokea
  4. U

    Cheating kwa miaka 7

    hatari sana
  5. U

    Cheating kwa miaka 7

    nay naye yuko na familia
  6. U

    Najuta sana kuharibu ndoa ya huyu jamaa. Nitumie mbinu gani kumuomba msamaha?

    Hakuna mwanaume ambaye anaweza samehe unapomlia mkewe lazima anakutafuta underground siku akikutia mikononi ndo utajua mke wa mtu ni sumu kivip
  7. U

    Cheating kwa miaka 7

    kabisa aisee pasua kichwa sana
  8. U

    Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

    hii ngoma ni ngumu kwa kuwa pia inategemea wewe ndo ulikuwa wa kwanza kwake kama hapana samehe songeni mbele japokuwa ni pain full
  9. U

    Cheating kwa miaka 7

    Wadau ukigundua mkeo ulioko naye sasa alikusaliti wakati mkiwa wachumba na ukagundua huyo aliyeku-cheat naye wanaendelea na mawasiliano japokuwa wako mikoa tofauti na wewe mume muko na watoto UTAFANYA MAAMUZI YAPI pamoja na huyo mkeo kuomba msamaha
  10. U

    Wakuu naombeni njia ya kufanya ili kukata harufu ya pombe mdomoni

    kama mwanaume hanywi pombe anakuwa mwanaume wa NAMNA ganii aiseee
  11. U

    Wakuu naombeni njia ya kufanya ili kukata harufu ya pombe mdomoni

    Kuna siku NILIFANYA hivyo NIKAWA najiamini mbele ya boss naongeee kinoma boss akaniambia umekunywa pombe ILIBIDI nimjibu NDIO ukiacha utakuwa fara
Back
Top Bottom