Ndugu wana bodi kompyuta yangu imevamiwa na ramsoware (kama sijakosea) na file zote katika mfumo wa pdf doc xls zimebadilika extension na hivyo kutosomeka kama ilivyo kawaida.Naleta kwenu ombi la kusaidiwa maarifa namna ya kukabiliana na tatizo hili.
Natamguliza shukurani.
Wadau Kwa wenye mahitaji ya PlyWood imara na zenye ubora wa hali ya juu kutoka wilayani Moshi. Mzigo ni mkubwa sana na utafikishiwa mkoa /wilaya yeyote ulipo.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba +255753304938
+255658464977
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.