Hapo umewasilisha taarifa sahihi kabisa, ila wengi wa wanachadema wanadosari akilini waliingizwa kwenye chama kile hata hawajui wanaingia kufanya nini.Sababu za wanachama wengi wa chadema kuwa na mapungufu ya kiakili ni nyingi pamoja uvutaji bangi, kutafuna mirungi kama Lema, kuramba cocaine...
Acha kabisa hiyo kitu mbaya mno, Mimi nilikuwa hukoo Mkoani Ruvuma Namtumbo, nikambipu mmoja akaja, ile namaliza nafyatua goli la kwanza tu usiku kama SAA 3hivi nikagongewa na JIRANI yangu akiniambia na mwingine ambaye aliandika LTD amefika, nikatetemeka hovyo, yule wa ndani nikamwambia kuna...
Shirika FCB linafanya utafiti kuhusu uimara wa vyama upinzani nchini, limeona indicator yenye sura ikionyesha kwamba hadi kufikia mwaka 2025 CHADEMA itatoboka matundu makubwa makubwa kisha kuanza kupukutika kama majani ya karanga.
Sababu zinazotajwa ni kukubalika sana kwa rais Magufuli mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.