Kwanini Wana CHADEMA ni wabishi sana? Huu ukweli huupinga!

Uwezekano ni mkubwa kuwa yawezekana kulikua na wizi mkubwa ktk uchaguzi ulee. Na inawezekana ni kweli kuwa chadema walishinda uchaguzi huo, kwa vigezo vifwatavyo.
1: kura za magufuri zilikua zaidi ya milioni 8 na kura za wabunge wa ccm zilikua zinashahabiana na kura za mgombea uraisi wa ccm.
2; kura za Lowassa zilikua zaidi ya milioni 6 lkn kura za wabunge wa chadema zilikua chini ya million 3.5.
Sasa cha kujiuliza iliwezekanaje watu wampe lowassa kura nyingi na wawanyime wabunge wa ukawa?
Ukichukua kura za lowassa ukazigawanya kwa wabunge wa ukawa, ilitakiwa ukawa wawe na wabunge zaidi ya 100. Sasa hizo kura zilienda wapi, kwa nani, kwasababu gani. Hapo ndo tunahitimisha kuwa kulikua na jambo ambalo si la kawaida ktk uchaguzi ile, na ndio maana yeyote aliejalibu kukusanya takwimu alikamatwa maramoja tena kwa nguvu kubwa. Je kulikoni? Kama haikua njia ya kupalilia wizi?
 
Karibia wanaCHADEMA wote unaweza kusema ni watoto wa mama mmoja na kuna kitu kinawaunganisha, nacho ni ubishi.

Kuna hili jambo la Uchaguzi, wanaCHADEMA wote husema kwamba wao hushinda uchaguzi na kwamba huibiwa kura, na mfano mzuri ni Uchaguzi uliopita, lkn kwa nini mahesabu hayaendani na madai yao ya kuibiwa kura?

Kwa mfano CHADEMA walipata Wabunge 30 tu wakati CCM walipata Wabunge zaidi ya 150 na wana chadema wote huyakubali matokeo ya Ubunge lkn husema kwamba walishinda kura za Urais na kwamba waliibiwa, sasa hili mtu mwenye akili anaweza kulielezea vipi? Iweje Mtanzania asiwaamini CHADEMA kwenye kuongoza Bunge halafu akawaamini kwenye kuongoza Nchi?

Ni kwa nini CHADEMA wanakuwa wabishi namna hii na hawataki kuukubali ukweli kwamba bado hawajaweza kukubalika na Watanzania kuongoza hii nchi? Kuishi kwa uongo hakuwasaidii kwani mnawafanya wanachama wenu waamini jambo ambalo halipo, na hivyo kupunguza nafasi huko mbele ya kujiboresha.

Waambieni ukweli watu wenu kwamba, tumeshindwa uchaguzi kwa sababu kura zetu hazikutosha lakini kwa kuongeza juhudi na maarifa tuna uwezo mkubwa wa kuongeza kura zetu chaguzi zijazo, huu ndiyo ukweli na wala siyo udhaifu kama mnavyofikiri.
kuna uchaguzi umefanyika au ni wa mwaka jana?
 
Hata kama chadema watapata Wabunge 10 dhidi ya 200 wa CCM bado watasema wameibiwa kura za Uraisi, hapo ndipo ninaposhindwa kuwaelewa ni kwa nini ni wajinga namna hii?

ndio maana mkiambiwa ccm waliiba znz huwa mnakataa tunaishia kuwashangaa. Eti chumba kimoja na mpiga kura yuleyule kura za znz ziharibike lakini ya muungano iwe sawa!!! Mbona unajichanganya ndugu, usipoangalia utavujisha siri.
 
HESABU ZA WANASSM
Uingereza Bil.6
Marekani Bil.5
Kenya Mil.200
Korea 1.5Bil
Wadau mbalimbali 5.4Bil
TOTAL 5.4 BIL.
Hichi ndicho kiasi kilichopatikana kwa hiyo itaenda kukarabati miundo mbinu. Kumbe zingine wamegawana milion 10 kila mbunge
 
Michago ya Kagera.Uingereza tu. Walitoa Bilioni 6.
Nashangaa tunatangaziwa jumla ya michango yote ni bilioni 5.4.
 
CHADEMA NI WASHINDI WA URAIS KWENYE MITANDAO YA KIJAMII - KTK UCHAGUZI MKUU NI WAFUKUZA UPEPO TU!!!!

Hata EL kama ilivyotokea kwa Hillary Clinton hawaamini matokeo!!! He he he he he he he!
Msakila KABENDE
 
Chadema Kuna makundi matatu,
1:werevu au great thinkers ambao huwa hawakurupuki ovyo na wanauelewa wa mambo huku wakipinga vitu kisomi.
2:Werevu kwa njaa zao wameamua kuweka akili Kando kuwa mapupet wa viongozi hata kama viongozi hawakosahihi. Uelewe wao unakodishwa kuwanufaisha maboss na sio taifa.
3:wafuata mkumbo wasiojua hata nini wanapinga au wanabisha ila tu msingi wa kubisha huko ni kuleta utofauti na CCM au serikali au kumap mawazo na kauli za kisiasa za wakuu wao. Hawa ni wengi kama mchanga wa bahari huku pia wamejaa. Kipimo mfano hadi sasa angalia unazungumzia nini na wao wanajibu nini.

Naomba kuwasilisha
Hapo umewasilisha taarifa sahihi kabisa, ila wengi wa wanachadema wanadosari akilini waliingizwa kwenye chama kile hata hawajui wanaingia kufanya nini.Sababu za wanachama wengi wa chadema kuwa na mapungufu ya kiakili ni nyingi pamoja uvutaji bangi, kutafuna mirungi kama Lema, kuramba cocaine, unywaji wa viroba.Aliyekuwa anawatafuta wanachama alipenda kupitia vijijiweni, kwenye gongo bars, magenge ya wavuta bangi nk.Ndiyo maana mwenyekiti wao akiropoka jambo hata kama uongo huwatoi hapo!!!
 
Karibia wanaCHADEMA wote unaweza kusema ni watoto wa mama mmoja na kuna kitu kinawaunganisha, nacho ni ubishi.

Kuna hili jambo la Uchaguzi, wanaCHADEMA wote husema kwamba wao hushinda uchaguzi na kwamba huibiwa kura, na mfano mzuri ni Uchaguzi uliopita, lkn kwa nini mahesabu hayaendani na madai yao ya kuibiwa kura?

Kwa mfano CHADEMA walipata Wabunge 30 tu wakati CCM walipata Wabunge zaidi ya 150 na wana chadema wote huyakubali matokeo ya Ubunge lkn husema kwamba walishinda kura za Urais na kwamba waliibiwa, sasa hili mtu mwenye akili anaweza kulielezea vipi? Iweje Mtanzania asiwaamini CHADEMA kwenye kuongoza Bunge halafu akawaamini kwenye kuongoza Nchi?

Ni kwa nini CHADEMA wanakuwa wabishi namna hii na hawataki kuukubali ukweli kwamba bado hawajaweza kukubalika na Watanzania kuongoza hii nchi? Kuishi kwa uongo hakuwasaidii kwani mnawafanya wanachama wenu waamini jambo ambalo halipo, na hivyo kupunguza nafasi huko mbele ya kujiboresha.

Waambieni ukweli watu wenu kwamba, tumeshindwa uchaguzi kwa sababu kura zetu hazikutosha lakini kwa kuongeza juhudi na maarifa tuna uwezo mkubwa wa kuongeza kura zetu chaguzi zijazo, huu ndiyo ukweli na wala siyo udhaifu kama mnavyofikiri.
Umenikumbusha milioni kumi kumi,,,,,, hela ya mboga
 
Hapo umewasilisha taarifa sahihi kabisa, ila wengi wa wanachadema wanadosari akilini waliingizwa kwenye chama kile hata hawajui wanaingia kufanya nini.Sababu za wanachama wengi wa chadema kuwa na mapungufu ya kiakili ni nyingi pamoja uvutaji bangi, kutafuna mirungi kama Lema, kuramba cocaine, unywaji wa viroba.Aliyekuwa anawatafuta wanachama alipenda kupitia vijijiweni, kwenye gongo bars, magenge ya wavuta bangi nk.Ndiyo maana mwenyekiti wao akiropoka jambo hata kama uongo huwatoi hapo!!!
Nyie watu mnapenda sifa sana km wale wabunge wapiga dili wa milion 10 na wale wezi wa pesa za waathirika wa tetemeko Kagera.
Hiv yule waziri aliyetumbuliwa kwa ulevi bungen alikuwa chama gani vile?
 
ndio maana mkiambiwa ccm waliiba znz huwa mnakataa tunaishia kuwashangaa. Eti chumba kimoja na mpiga kura yuleyule kura za znz ziharibike lakini ya muungano iwe sawa!!! Mbona unajichanganya ndugu, usipoangalia utavujisha siri.
Mkiishamaliza kuhesabu kura, njooni fedha misaada ya waathirika wa tetemeko. Aloiba uji wa mgonjwa ni nani?
 
Hata kama chadema watapata Wabunge 10 dhidi ya 200 wa CCM bado watasema wameibiwa kura za Uraisi, hapo ndipo ninaposhindwa kuwaelewa ni kwa nini ni wajinga namna hii?
inapofikia hatua ya kumuita mwenzio mjinga inabidi ujitafakari je ni kweli wote walio CHADEMA ni wajinga na we ni mwerevu ,je ni kweli kabisa yaani hata wabunge wa chadema ni wajinga pamoja na wagombea urais,je ni kweli au ndio kushikiwa akili na watu fulan we unakuwa unaandika,mkumbuke hizi post dunia nzima zinasomeka na usikute kuna wazazi wako na ndugu zako unaowaomba msaada nao umewaita wajinga,tusipende kushikiwa akili,mi naamini we ndo mjinga kwani haukutafakari kabla ya kuanza kuandika.
 
Karibia wanaCHADEMA wote unaweza kusema ni watoto wa mama mmoja na kuna kitu kinawaunganisha, nacho ni ubishi.

Kuna hili jambo la Uchaguzi, wanaCHADEMA wote husema kwamba wao hushinda uchaguzi na kwamba huibiwa kura, na mfano mzuri ni Uchaguzi uliopita, lkn kwa nini mahesabu hayaendani na madai yao ya kuibiwa kura?

Kwa mfano CHADEMA walipata Wabunge 30 tu wakati CCM walipata Wabunge zaidi ya 150 na wana chadema wote huyakubali matokeo ya Ubunge lkn husema kwamba walishinda kura za Urais na kwamba waliibiwa, sasa hili mtu mwenye akili anaweza kulielezea vipi? Iweje Mtanzania asiwaamini CHADEMA kwenye kuongoza Bunge halafu akawaamini kwenye kuongoza Nchi?

Ni kwa nini CHADEMA wanakuwa wabishi namna hii na hawataki kuukubali ukweli kwamba bado hawajaweza kukubalika na Watanzania kuongoza hii nchi? Kuishi kwa uongo hakuwasaidii kwani mnawafanya wanachama wenu waamini jambo ambalo halipo, na hivyo kupunguza nafasi huko mbele ya kujiboresha.

Waambieni ukweli watu wenu kwamba, tumeshindwa uchaguzi kwa sababu kura zetu hazikutosha lakini kwa kuongeza juhudi na maarifa tuna uwezo mkubwa wa kuongeza kura zetu chaguzi zijazo, huu ndiyo ukweli na wala siyo udhaifu kama mnavyofikiri.
Hili nalo sasa hivi limetokea au limetokana na nini? Au hoja zimeisha?
 
Karibia wanaCHADEMA wote unaweza kusema ni watoto wa mama mmoja na kuna kitu kinawaunganisha, nacho ni ubishi.

Kuna hili jambo la Uchaguzi, wanaCHADEMA wote husema kwamba wao hushinda uchaguzi na kwamba huibiwa kura, na mfano mzuri ni Uchaguzi uliopita, lkn kwa nini mahesabu hayaendani na madai yao ya kuibiwa kura?

Kwa mfano CHADEMA walipata Wabunge 30 tu wakati CCM walipata Wabunge zaidi ya 150 na wana chadema wote huyakubali matokeo ya Ubunge lkn husema kwamba walishinda kura za Urais na kwamba waliibiwa, sasa hili mtu mwenye akili anaweza kulielezea vipi? Iweje Mtanzania asiwaamini CHADEMA kwenye kuongoza Bunge halafu akawaamini kwenye kuongoza Nchi?

Ni kwa nini CHADEMA wanakuwa wabishi namna hii na hawataki kuukubali ukweli kwamba bado hawajaweza kukubalika na Watanzania kuongoza hii nchi? Kuishi kwa uongo hakuwasaidii kwani mnawafanya wanachama wenu waamini jambo ambalo halipo, na hivyo kupunguza nafasi huko mbele ya kujiboresha.

Waambieni ukweli watu wenu kwamba, tumeshindwa uchaguzi kwa sababu kura zetu hazikutosha lakini kwa kuongeza juhudi na maarifa tuna uwezo mkubwa wa kuongeza kura zetu chaguzi zijazo, huu ndiyo ukweli na wala siyo udhaifu kama mnavyofikiri.
mkuu siyo kweli kuwa wana chadema ni wabishi, bali mtu yeyote asiyekuwa mwana chadema anaye fuatilia siasa zetu japo kidogo atatoa tuhuma hizo kama mimi ninavyo tuhumu. mimi naenda mbali zaidi ya kutuhumu wizi wa kura tu na kushutumu hujuma za ccm dhidi ya vyama vya upinzani!, yahani si kwamba ccm ina waibia kura tuu bali ina wahujumu!. Umesema hapo juu kuwa wanao mchagua mbunge huchagua na rais kutoka chama hicho jambo ambalo si sahii hata kidogo!, ktk uchaguzi wa 2010 jimbo la bukoba mjini Hamisi kagasheki (ccm) alishinda ubunge wakati huo jimbo hilo hilo dr. Wilbroad slaa akiongonza kwa kura za urais!, matokeo kama ya jimbo la bukoba yalikuwepo sehemu nyingi tuu kiasi cha kuilazimu tume "isiyo" huru kubadili taratibu za utoaji wa matokeo ya kura za u-rais yasitangazwe vituoni bali makao makuu ya tume, narudia tena ya urais tu ndo yaliyo zuiliwa tena katkati ya mchakato wa uchaguzi! taratibu zikabadilika!!!!!!........hivi ndugu babaroza ktk mazingira kama hayo huoni kuwa wana sababu ya kulalamika kuwa kuna wizi wa kura???????. Ndugu yangu kuwa na wabunge wengi si justification ya kutoa raisi pia, hebu jaribu kuangalia % za kura za Magufuli alizo pata ktk uchaguzi ulio pita kisha uone kama zina shabihiana na asilimia ya wabunge wa ccm, kwamba ccm ina wabunge wengi sana, kama walio wachagua hao wabunge lilimchagua magufuli angepata zaidi ya % 56.
ndugu babaroza hujuma dhidi ya wapinzani ziko wazi siyo wizi tuuuuu, yanafanywa mchana kweupe wote tunaonaaaaa.....siyo lazima niwe mwana chadema niweze kuyaona. uchaguzi wa mayor dar nadhani unukumbuka vizuri, mara mapingamizi feki,.....vioja vya kila aina, wakati huo ukumbuke ya Jecha salimu jecha na tume yake pale zanzibar. Kwakweli anye lalamika wizi wa kura ktk chaguzi zetu yupo sahihi! ukiongeza na sheria ya kutokuchallenge matokeo ya urais ndo basi kabisa hata uwe na evidence zako utakufa nazo tuuu!.
 
Karibia wanaCHADEMA wote unaweza kusema ni watoto wa mama mmoja na kuna kitu kinawaunganisha, nacho ni ubishi.

Kuna hili jambo la Uchaguzi, wanaCHADEMA wote husema kwamba wao hushinda uchaguzi na kwamba huibiwa kura, na mfano mzuri ni Uchaguzi uliopita, lkn kwa nini mahesabu hayaendani na madai yao ya kuibiwa kura?

Kwa mfano CHADEMA walipata Wabunge 30 tu wakati CCM walipata Wabunge zaidi ya 150 na wana chadema wote huyakubali matokeo ya Ubunge lkn husema kwamba walishinda kura za Urais na kwamba waliibiwa, sasa hili mtu mwenye akili anaweza kulielezea vipi? Iweje Mtanzania asiwaamini CHADEMA kwenye kuongoza Bunge halafu akawaamini kwenye kuongoza Nchi?

Ni kwa nini CHADEMA wanakuwa wabishi namna hii na hawataki kuukubali ukweli kwamba bado hawajaweza kukubalika na Watanzania kuongoza hii nchi? Kuishi kwa uongo hakuwasaidii kwani mnawafanya wanachama wenu waamini jambo ambalo halipo, na hivyo kupunguza nafasi huko mbele ya kujiboresha.

Waambieni ukweli watu wenu kwamba, tumeshindwa uchaguzi kwa sababu kura zetu hazikutosha lakini kwa kuongeza juhudi na maarifa tuna uwezo mkubwa wa kuongeza kura zetu chaguzi zijazo, huu ndiyo ukweli na wala siyo udhaifu kama mnavyofikiri.
Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Acheni unafiki wa kisiasa kama kweli wewe unafuatilia angalia kuna majimbo ambayo kura ziligeuzwa. Kama si mnafiki utaelewa. Ila mi siko kwenye ligi yenu
 
Back
Top Bottom