Bima ni mkombozi mkubwa, inatufanya tutafute huduma sahihi wakati wa uhitaji pasipo kujari gharama. Wekeza kwenye BIMA kuponguza gharama na kuwa na uhakika wa matibabu sahihi wakati wa uhitaji
Hapo naweza sema ni suala la uelewa tu mlitofautiana, Kama alikuwa na appointment ya kurudi kwa follow up huwa mwezeshaji hakutakiwa kukuzuia, so si NHIF wenye makosa
Kila kitu kina utaratibu wake, ukisoma vizuri maelezo ya vifurushi vya Bima, inakuonesha huduma unazo weza kuzipata kupitia kifurushi ulichochagua, idadi ya vipimo unavyoweza vipata kupitia hkifurushi hicho na vituo vya huduma na wameelekeza kuanzia ngazi ya chini Hadi Hospitali ya Taifa lakini...
Kama Hadi muda huu hujajua ni wapi patakifaa, maana yake hufai kuingia kwenye Hilo tamanio, maana yake hujui agenda za vyama vilivyopo nchini.
Ni vema ukaendelea kuitumikia nchi kwa taaluma yako, maana Kuna maeneo mengi yanayohitaji utatuzi kupitia taaluma yako
Mtu wa kwanza wa kukali usalama barabarani ni abiria mwenyewe, toa taarifa unapoona ukiukaji wa uendeshaji wa vyombo vya usafiri barabarani, hata iwe mchana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.