Recent content by uteu

  1. U

    Tubadilishane kituo mwalimu

    njoo bunda mjin utakuwa umesogea kwenda mwz 6000 tu masaa mawili umefika magari uhakika.... kama uko tayari tuwasiliane
  2. U

    Mjuzi wa ving'amuzi

    Likwanda:nipo mbeya town nafanyaje sijakupata kuhusu huo ukaribu wa satelite ni kiedit na kuadd hiyo freguency kwenye azam tv inawezekana nikaipata emanuel
  3. U

    Mjuzi wa ving'amuzi

    @isilokabwe:mkuu dish aina gani nina decoder ya star times baada ya kuzingua nimenunua azam tv..... bt nayo haina.... naweza tumia dish la eurostar nielekeze inakuwaje???
  4. U

    King'amuzi cha gospel(above 80 channels)

    mtazamo: ww umefanyanye namm natumia azam ila emanuel tv haipo naihitaji nafanyaje??
  5. U

    Mjuzi wa ving'amuzi

    msaada jinsi ya kuunganisha emmanuel tv. ...... nina decoder ya azam....but haina hiyo chanel startimes haikamati haya mazingira niliyopo nifanyaje jamani msaada wenu wadau
  6. U

    Jinsi ya kujiunga depo CCP Moshi

    wadau naomba mnijuze kuhusu application za kuingia depo na vigezo vyake nina mdogo wangu kamaliza 4m six2008 alipata 3ya 13 alisoma hgk kachoka kukaa kitaani.
  7. U

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    first born:bunda unapataka kuna mwalimu kwao ni mtwara anatafuta hiyo nafasi
  8. U

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    dima:ngorongoro sehemu gani mm niko bunda mjin
  9. U

    Ajira tanzania police force, diploma na digrii

    jamani hii ni ya 2014 au 2013 nina ndugu yangu ana chet cha six cha 2008 ni bint ana miaka 28 alipata 3 ya13 anaweza pata nafasi ya kujiunga mwaka huu
  10. U

    TB Joshua live leo !

    mungu wetu ni wa ajabu matendo yake hayachunguziki sifa na utukufu apewe bwana binti wa watu kachafuliwa tumbo na mishono na madactari wa dunia daktari bingwa Yesu kamaliza ugonjwa wote tusiogope maneno ya madaktari kama tuna imani iwezayo kung'oa milima tuishi katika kristo tupate mema kila siku
  11. U

    Kuokoka ni nini?,

    wokovu ni badiliko la ndani
  12. U

    Dawa ipi itafaa kukaushia kidonda cha Opresheni?

    Inspector: inategemea na umbile la mama yawezekana ni mnene so ana mafuta mengi mazoezi ni tiba nzuri pia na aina ya upasuaji aliofanyiwa kama ni ya mlalo na ye ni mnene basi lazima itafunikwa na tumbo kidonda kinakuwaje wazi??
  13. U

    sifa za kujiunga na grade a

    msaada wenu wadau nina ndugu amemaliza form four kapata four ya 31 kasikia tetesi serikali imetoa ofa kwa baadhi ya vyuo kikiwemo katoke bukoba mwisho div 4 ya 35 mda wa mafunzo ni miezi 6 tu kuna ukweli wowote naomba mnijuze wadau
  14. U

    Fahamu zaidi kuhusu tatizo la minyoo sugu na tiba yake

    inaanzia na z jina nimesahau ni kidonge kimoja tu dozi yake kinauzwa 6000 ni from uk inasehemu ya kusearch like vocha afu na maelekezo ya kutuma hizo no ili uambiwe kama hiyo dawa ni yenyewe na haijakwisha mda wake
  15. U

    samsung galaxy s4 kwa 350000 note3 kwa 500000 0689315582

    korea or vetnam ipi bora zaid
Back
Top Bottom