MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,838
Msaada tupe tp zake na sat
Location yaani jinsi ya kuziadi natumia Azamtv MTAZAMO
Ukiwa na dish lingine hata yale madogo ya elfu 50 mafundi wanaunganisha kupitia king'amuzi cha azam tv then wakati mmoja unapata channel zingine kibao............ukipata fundi yoyote wa madish (hata kwa mawakala wa ving'amuzi) wanakufungia vizuri tu.........tafuta fundi wa karibu na eneo lako ili kuepusha gharama kidogo.