Kw jinsi alivotunyanyasa watu wa Lindi na Mtwara ususani kwenye sakata la Gas aisee Muhongo bora apotelee mbali na dharau zake....haiwezekan atandike mabomba ya Gas Kutoka huku kuelekea Dar alhali sisi tuko gizani.
Wewe mtoa post unafananishaje Mtwara na Kigoma? Mtwara iko mbali sana tena sn kw sasa! Miundo mbinu iliyopo, uwekezaji ulifanyw na serikal na private sector, uzur wa mji, kipato cha mtu mmojammoja na hata fursa zilizopo ni nyingi sn pale Mtwr kiac had uje ufananishe na Kigoma daah ni kufanya...
Watanzania ushabiki umetujaa sn! Mwenge umezungushwa nchi nzima na mabilioni kibao kuteketezwa pacpo tija! Kuzuia cku moja tu watu wanashangilia eti.....!! Aibu ya taifa hakika, Mimi sion la maana hapa km si kujitengenezea umaarufu machon mwa wanyonge.
Mtoa post ni full bias....inaonesha una chuki sn na Mtwara Chura wa Snura wewe. Naona umejaza ulaghai wenye mtazamo hasi tupu! Vp mbona hujazungumzia zao la korosho km chanzo kikubw cha mapato ya serikal yako?? Panya na Ming'oko ni traditional food ni vyakula vitam kinoma. Kuhs maghorofa wadau...
Wanajamvi, wananchi wa mkoa wa Mtwara wanahoji je muendelezo ndiyo uleule wa kupewa ahadi pasipo utekelezaji?? Tunakumbuka wakati wa kampeni rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akiambatana na mgombea wa awamu hii ya 5 mh. JP MAGUFULI wakiwa huko Lindi walitutangazia ya kuwa barabara ya MTWARA-...
Nikirejelea karipio la mkulu kuhusu hisia ya watu kuficha hela mchagoni na kutishia kuchapisha noti mpya.... Na kwenye maafa ya tetemeko sirikali kutembeza bakuli ili kupatikane chochote wahanga wasaidiwe.... Napata ukakasi na kauli ya profesale eti kuwa uchumi uko stable!! Mmmh haya 2subiri...
Walimu tumesimamia mtihan wa taifa kidato cha nne 2015 tukapewa kiac tu hadi leo hatujamaliziwa then huyu mama anaongea uongo hapa eti walimu hawadai!! Siasa imeshampoteza tyr na hiyo ni dhambi kubwa sn. Eti hv kw nn sekta ya elimu inapuuzwa sn jaman?? Aisee kuwa mwalimu kwenye hii nchi ni...
Kwa mtazamo wangu, nahc jukumu la ukurugenzi linahitaji weledi na uzoefu ktk uongozi kwan huyu ndo mtendaji mkuu wa halmashauri. Mafungu yote yanayoenda kwa wananchi DED ndo mkokotoaji na ndo mwenyejukumu la kusimamia....anahitajika m2 mwenye akili ya ziada kiukweli. Kama kweli tunahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.