Recent content by Usunga-Kijiji

  1. U

    Mkuu wa nchi na ukimya kuhusu mawaziri

    Mwaka mpya atakuwa CAPEVADE kubembea JK.
  2. U

    Shule taabani: Mwalimu Mmoja - Chekechea hadi Darasa la Saba... Lakini yafaulisha wanafunzi wote

    Yote hayo yanasababishwa na CHADEMA,Makonda amesema hayo leo . Wanafunzi kufeli = Chadema Ukosefu wa madawa =Chadema Ukosefu wa maji safi na salaama =Chadema Oplesheni tokomeza maWaziri =Chadema Mapigano ya wafugaji na wakulima = Chadema Kuua reli ya kati na Viwanda = Chadema Mauaji ya...
  3. U

    Dr. Slaa na Mbowe wajibikeni mauaji M4C: Makonda

    Kweli nimeamini kazi ya KICHWA siyo kufugia nywele peke yake,kama ndani ya KICHWA kupo wazi,umeshindwa kufikili hata kwa kutumia MASABULI.Kumbe Serikali yenu ya MaCCM,inaongozwa na kina W.SILAA?ndoo maana hata majeshi yote yanawasikiliza wao,hata Opresheni tokomeza maWAZIRI ilitolewa na SLAA na...
  4. U

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    Ndugu Lowasa hebu aone aibu,hizo fedha anazo gawa kila siku zingekuwa zake,anajisikiaje akifika jimboni kwake anakuta wapiga kura wake hawana maji zahanati hakuna nk,jamani toka ameanza kugawa fedha Monduli si ingekuwa zaidi ya DUBAI,tuache unafiki kuna jambo.
  5. U

    Nani anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani? andika jina hapa chini bila chuki...

    Ikae wazi,na ikaimiwe na IGP Mwema,mpaka JK amalize muda wake.
  6. U

    Ni Mwakyembe au Magufuli kupewa wizara ya Maliasili na utalii

    Dawa ya mchawi mpe mwanao akulelee,Mpeni hiyo Wizara Mzee Ndovu a.k.a KINANA
  7. U

    CCM yazoa wanachama wapya wilayani Temeke

    Kwani CCM kimekuwa chama kipya.?njaa mbaya sana utadhani unafikili kwa kutumia MASABULI.
  8. U

    Kawambwa ni Mzigo kwa Taifa...

    JK,alisema uRais wangu hauna ubia na mtu,kumbe alikuwa anamjumlisha na KAWA MBWA,ndo waziri aliyevunja rekodi ya TZ toka tupate Uhuru,haijawahi tokea Waziri kubadilishwa kila wizara pindi mwenye ubia nae anapolazimwishwa na BUNGE kufanya mabadiliko.
  9. U

    Picha: Kukamatwa kwa maiti Morogoro na madawa ya kulevya

    Mbona hata JK (mkuu wa nchi) alisema anawafahamu na anayo majina ya wauza Madawaya kulevya,mbona mpaka leo kimya,chezea JK wewe, a.k.a Mzee wa safari.
  10. U

    Jamani hodiiii...!

    Hodi bandugu,naomba mnitambue,mimi ni mpiganaji mwenzenu.
  11. U

    KANGI LUGOLA kutolewa kafara!

    LUGOLA,KANGI,Kama anauchungu kweli,mbona mpaka sasa hajasaini fomu ya Dogo MACHALI,Moses.Nayeye alisema kama Mhe.WaPIGWE tu hatajihuzulu yeye atakuwa Mbunge wa kwanza kuleta hoja binafsi,ili awashawishi MaCcm wenzie wamfukuze mzee wa Ving'ola.LUGOLA sa na debe tupu niwakuogopwa kama UKOMA.
  12. U

    Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe

    Nchimbi ndiye huyu huyu aliekuwa anaintelejensi ya mikutano ya Chadematu.
Back
Top Bottom