Usunga-Kijiji
Member
- Dec 26, 2013
- 15
- 0
Kweli nimeamini kazi ya KICHWA siyo kufugia nywele peke yake,kama ndani ya KICHWA kupo wazi,umeshindwa kufikili hata kwa kutumia MASABULI.Kumbe Serikali yenu ya MaCCM,inaongozwa na kina W.SILAA?ndoo maana hata majeshi yote yanawasikiliza wao,hata Opresheni tokomeza maWAZIRI ilitolewa na SLAA na MBOWE.