Recent content by Ustadh tongwe

  1. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Iran yawasilisha maombi yake yasiyotimizika kwa Marekani!!

    MTAYATIMIZA TU MLIVYOANZISHA VITA MLITEGEMEA NINI?
  2. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Jiji la Dar tatizo nini? Wiki ya pili sijapata control namba kulipia leseni halafu mnapita mtaani kukagua leseni

    Tunaomba viongozi mnaohusika akiwepo mkuu wa biashara mtusaidie please. Serikali inategemea tulipe hizo leseni za biashara ili maendeleo yapatikane. Sasa mtu anakaa na maombi wiki mbili hayajapitiwa hata na afisa mmoja na ukienda ofisini unawakuta wapo. Wakati huohuo maafisa wenu wanapita...
  3. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    hivi utt ukiweka million 100 kwa mwaka unapata kiasi gani kwenye faida?
  4. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Nilesh: Pesa nilizompa Heche hazikuhusiana na CHADEMA

    sijui kama ni kweli nilesh aliipa cdm pesa au la ila sioni tatizo lipo wp km kweli alifanya hvyo mbona ccm ilichangiwa billions na wafanyabiashara kipindi cha uchauzi na haikuwa siri ilitangazwa live
  5. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Sitasahau nilivyopata demu mbunge maisha yanapita wakuu

    hapo kwamba hujacukua namba ndio chai yenyewe
  6. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mercedes-Benz A180 mafuta kisoda iko sokoni

    bei mbona kaandika million 32.8
  7. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Meli 1,500 na mabaharia 20,000 wamekwama Hormuz kutokana na vita vya Iran, Trump amebakia kupiga kelele kwenye mitandao.

    nikulipiza tu kisasi km yy iran wanavyomuwekea vikwazo halafu wengine wanauza mafuta tena kwa kupita katika eneo la mpaka wake lakini yy haruhusiwi kufanya biashara hapo nikukomoana tukose wote ndio maana miongoni ya mashart ya iran hili afungue ni kuruhusu na yy mafuta yake yaingie soko la...
  8. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    nikiangalia wanangu nnajiona kweli nishazeeka
  9. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya TAMISEMI mnahusika na Mfumo wa Leseni mtusaidie kurekebisha tatizo wiki ya tatu tunashindwa kupata Leseni

    TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence. Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
  10. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO TAWA yafuta barua za ajira za askari wake 12 wa AJIRA MPYA. (Kozi Intake NO.02)

    kwahyo hao askari walianza darasa kwanza na miaka 5 ?
  11. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO Uovu unaotendeka kwa wafanyakazi wa chuo cha West Evan College of Business, Health, and Allied Science. Kilichopo Kigamboni (Cheka)

    Poleni sana ugumu wa ajira waajiri wanatumia vibaya kutesa watanzania wenzetu
  12. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza shamba bagamoyo bei 4.5M

    installment kwa muda gani kumaliza?je kutoka hapo yumbo shuleni au yombo hospital kuna umbali gani mpk kwenye hilo shamba ?mimi kwetu ni miembe saba
  13. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Mwana Mfalme Reza Pahlavi alitaka Jeshi kuipindua Serikali ya Iran

    IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
  14. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    sasa ukipga nuclear iran na zilivokaribu na nchi za ghuba sumu itakuwa kote ww unafikiri wao hawafikirii hicho
  15. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania The Financial Times: Iran inaweza kutoka kwenye hii vita ikiwa nchi yenye nguvu hatari zaidi

    Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
Back
Top Bottom