Tunaomba viongozi mnaohusika akiwepo mkuu wa biashara mtusaidie please. Serikali inategemea tulipe hizo leseni za biashara ili maendeleo yapatikane. Sasa mtu anakaa na maombi wiki mbili hayajapitiwa hata na afisa mmoja na ukienda ofisini unawakuta wapo. Wakati huohuo maafisa wenu wanapita...
sijui kama ni kweli nilesh aliipa cdm pesa au la ila sioni tatizo lipo wp km kweli alifanya hvyo mbona ccm ilichangiwa billions na wafanyabiashara kipindi cha uchauzi na haikuwa siri ilitangazwa live
nikulipiza tu kisasi km yy iran wanavyomuwekea vikwazo halafu wengine wanauza mafuta tena kwa kupita katika eneo la mpaka wake lakini yy haruhusiwi kufanya biashara hapo nikukomoana tukose wote ndio maana miongoni ya mashart ya iran hili afungue ni kuruhusu na yy mafuta yake yaingie soko la...
TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence.
Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.