nikulipiza tu kisasi km yy iran wanavyomuwekea vikwazo halafu wengine wanauza mafuta tena kwa kupita katika eneo la mpaka wake lakini yy haruhusiwi kufanya biashara hapo nikukomoana tukose wote ndio maana miongoni ya mashart ya iran hili afungue ni kuruhusu na yy mafuta yake yaingie soko la...
TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence.
Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
maeneo yana badilika haraka sana mfano wanaokaa dsm miaka ya 2010 mtu huwezi kumwambia akakae mkuranga lakini sasa hv kunawatu wanaishi mkuranga asubuhi wapo kkoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.