Recent content by Ustadh tongwe

  1. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mercedes-Benz A180 mafuta kisoda iko sokoni

    bei mbona kaandika million 32.8
  2. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Meli 1,500 na mabaharia 20,000 wamekwama Hormuz kutokana na vita vya Iran, Trump amebakia kupiga kelele kwenye mitandao.

    nikulipiza tu kisasi km yy iran wanavyomuwekea vikwazo halafu wengine wanauza mafuta tena kwa kupita katika eneo la mpaka wake lakini yy haruhusiwi kufanya biashara hapo nikukomoana tukose wote ndio maana miongoni ya mashart ya iran hili afungue ni kuruhusu na yy mafuta yake yaingie soko la...
  3. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    nikiangalia wanangu nnajiona kweli nishazeeka
  4. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya TAMISEMI mnahusika na Mfumo wa Leseni mtusaidie kurekebisha tatizo wiki ya tatu tunashindwa kupata Leseni

    TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence. Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
  5. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO TAWA yafuta barua za ajira za askari wake 12 wa AJIRA MPYA. (Kozi Intake NO.02)

    kwahyo hao askari walianza darasa kwanza na miaka 5 ?
  6. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania KERO Uovu unaotendeka kwa wafanyakazi wa chuo cha West Evan College of Business, Health, and Allied Science. Kilichopo Kigamboni (Cheka)

    Poleni sana ugumu wa ajira waajiri wanatumia vibaya kutesa watanzania wenzetu
  7. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza shamba bagamoyo bei 4.5M

    installment kwa muda gani kumaliza?je kutoka hapo yumbo shuleni au yombo hospital kuna umbali gani mpk kwenye hilo shamba ?mimi kwetu ni miembe saba
  8. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Mwana Mfalme Reza Pahlavi alitaka Jeshi kuipindua Serikali ya Iran

    IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
  9. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    sasa ukipga nuclear iran na zilivokaribu na nchi za ghuba sumu itakuwa kote ww unafikiri wao hawafikirii hicho
  10. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania The Financial Times: Iran inaweza kutoka kwenye hii vita ikiwa nchi yenye nguvu hatari zaidi

    Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
  11. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Bunge la Israel laidhinisha bajeti kubwa kihistoria ya dola za kimarekani bilioni 271

    budget yote hyo lakini karibu yote wanategemea msaada hapo ukute wana robo yake
  12. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Hezbollah wanapata wapi zana nzuri mpaka wanachukua maeneo kirahisi hivi

    Rais wa syria sidhani km anaweza kuwazunguka israel maana hapo wamemuweka wao
  13. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Rais Macron huyo anaelekea Iran

    Analeta comedy watu wapo serious
  14. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania OpenAI amegeuka kuwa ClosedAI ghafla, sasa ana restrictions kibao kuna baadhi ya vitu ukimwambia anagoma kutoa majibu. Nini kimempata OpenAI?

    hatari mm mwenyewe nimeshangaa sana hilo swali alilouliza AI kweli foolish age hawa ndio vijana ambao Tundu lisu anasema anawapigania mpk anakaa jela
  15. Ustadh tongwe

    JamiiForums Tanzania Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    maeneo yana badilika haraka sana mfano wanaokaa dsm miaka ya 2010 mtu huwezi kumwambia akakae mkuranga lakini sasa hv kunawatu wanaishi mkuranga asubuhi wapo kkoo
Back
Top Bottom