sasa ww unasema rais na pm wanaona madudu halafu vyombo vya usalama hawajui hayo madudu wakati hvyo vyombo ndio vinampa taarifa zote Rais na Pm ww ukimkuta rais au pm anataja mpk majina ya wapigaji ujue kuna watu hawajalala kufuatilia hyo inshu yy akija anapewa tu ripoti akishika mic akianza...
Hila hela za kustafu sijui zina shida gani unakuta mtu anajielewa ana akili timamu kabla hajapata zile hila wakishastaf ile hela ikiingia kwenye account anaona kuna million 100 hapo akili inabadilika hela ikiisha akili zinarudi na hata sisi tunaoandika hapa tunawaponda wazee wetu lakini mwisho...
Sio kweli usikate stationary leseni ya graphics design elf 80 na stationary laki 1 utapgwa 20 kizembe halafu wakija wakaguzi hawakuelewi watakwambia sio leseni ya hapo watahisi umehamisha leseni kutoka ofisi nyingine kuzugia
Never give up brother mpk kieleweke zikitoka tena tusichoke mimi mwenyewe nimekosa na qualification zote nnazo hila ule mkeka ulivyo na nyomi 6000+ halafu sipo nimeona sio wakati wangu
Watu wengiiii hvyo vigezo vyako watu zaidi 200 wanavyo mliopata kajaribuni bahati tuliokosa tuombe mungu next time ww unafikiri kila alieomba achukuliwee hyo interview siitakuwa mwezi mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.