TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence.
Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
maeneo yana badilika haraka sana mfano wanaokaa dsm miaka ya 2010 mtu huwezi kumwambia akakae mkuranga lakini sasa hv kunawatu wanaishi mkuranga asubuhi wapo kkoo
WANAWAKE SIO KWAMBA HAWAPATI WAKUWAOA HILA WENGI WAKIWA NA MIAKA 24,25,26 MAJIVUNO MENGIII WANAWEKA VIGEZO VINGI KM WAO WANAVYO MIMI NNAKUMBUKA KUNA MDADA ALINAMBIA SIO TYPE YAKE MPK LEO ANA 30+ YUPO KWAO ,MIMI NILISHAOA YY BADO ANATAFUTA TYPE ZAKE.
Sitoi hata mia nnawasubiri wkae na hayo maombi yangu halafu siku wanafanya ukaguzi mtaani wanakuta sina leseni ndio ntawaambia wapitishe hila siwezi kufunga ofisi wakati wnatakiwa wapitishe online
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.