Recent content by Ustadh tongwe

  1. Ustadh tongwe

    KERO Ofisi ya TAMISEMI mnahusika na Mfumo wa Leseni mtusaidie kurekebisha tatizo wiki ya tatu tunashindwa kupata Leseni

    TAMISEMI tunaomba msaada maana mfumo mnaubana mpaka mmepitiliza. Imefikia hatua nataka kutengeneza leseni mpya na sina leseni kwenye huo mkoa, lakini mfumo unanikatalia unataka niombe kama branch wakati sina main licence. Mtusaidie kurekebisha tatizo hili kwani ni wiki ya tatu tunashindwa...
  2. Ustadh tongwe

    KERO TAWA yafuta barua za ajira za askari wake 12 wa AJIRA MPYA. (Kozi Intake NO.02)

    kwahyo hao askari walianza darasa kwanza na miaka 5 ?
  3. Ustadh tongwe

    Plot4Sale Nauza shamba bagamoyo bei 4.5M

    installment kwa muda gani kumaliza?je kutoka hapo yumbo shuleni au yombo hospital kuna umbali gani mpk kwenye hilo shamba ?mimi kwetu ni miembe saba
  4. Ustadh tongwe

    Mwana Mfalme Reza Pahlavi alitaka Jeshi kuipindua Serikali ya Iran

    IRGC inasikiliza order ya Ayatollah tu ndio maana rais alisema hatutoshambulia majirani kamanda wa IRGC akaipinga hyo kauli hila hao wengine wanaweza kumsikiliza rais kwahyo miundo yao tofauti.
  5. Ustadh tongwe

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    sasa ukipga nuclear iran na zilivokaribu na nchi za ghuba sumu itakuwa kote ww unafikiri wao hawafikirii hicho
  6. Ustadh tongwe

    The Financial Times: Iran inaweza kutoka kwenye hii vita ikiwa nchi yenye nguvu hatari zaidi

    Na iran wanalijua hilo ndio maana ayatollah alikuwa anasema hii vita itakuwa vita ya mwisho kushambuliwa na usa+israel baada ya hapo itakuwa na nguvu kubwa hakuna atakae waza kuishambulia
  7. Ustadh tongwe

    Bunge la Israel laidhinisha bajeti kubwa kihistoria ya dola za kimarekani bilioni 271

    budget yote hyo lakini karibu yote wanategemea msaada hapo ukute wana robo yake
  8. Ustadh tongwe

    Hezbollah wanapata wapi zana nzuri mpaka wanachukua maeneo kirahisi hivi

    Rais wa syria sidhani km anaweza kuwazunguka israel maana hapo wamemuweka wao
  9. Ustadh tongwe

    Rais Macron huyo anaelekea Iran

    Analeta comedy watu wapo serious
  10. Ustadh tongwe

    OpenAI amegeuka kuwa ClosedAI ghafla, sasa ana restrictions kibao kuna baadhi ya vitu ukimwambia anagoma kutoa majibu. Nini kimempata OpenAI?

    hatari mm mwenyewe nimeshangaa sana hilo swali alilouliza AI kweli foolish age hawa ndio vijana ambao Tundu lisu anasema anawapigania mpk anakaa jela
  11. Ustadh tongwe

    Najilaumu kutokununua ardhi Mbezi Kimara kipindi hicho

    maeneo yana badilika haraka sana mfano wanaokaa dsm miaka ya 2010 mtu huwezi kumwambia akakae mkuranga lakini sasa hv kunawatu wanaishi mkuranga asubuhi wapo kkoo
  12. Ustadh tongwe

    Natafuta Mume

  13. Ustadh tongwe

    Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    WANAWAKE SIO KWAMBA HAWAPATI WAKUWAOA HILA WENGI WAKIWA NA MIAKA 24,25,26 MAJIVUNO MENGIII WANAWEKA VIGEZO VINGI KM WAO WANAVYO MIMI NNAKUMBUKA KUNA MDADA ALINAMBIA SIO TYPE YAKE MPK LEO ANA 30+ YUPO KWAO ,MIMI NILISHAOA YY BADO ANATAFUTA TYPE ZAKE.
  14. Ustadh tongwe

    DOKEZO Mkuu wa Idara ya Biashara Manispaa ya Kigamboni Unaihujumu Manispaa Kwenye Mapato

    Sitoi hata mia nnawasubiri wkae na hayo maombi yangu halafu siku wanafanya ukaguzi mtaani wanakuta sina leseni ndio ntawaambia wapitishe hila siwezi kufunga ofisi wakati wnatakiwa wapitishe online
Back
Top Bottom