Recent content by Ustadh tongwe

  1. Ustadh tongwe

    Majibu yanatoka lini kuhusu hatua nyingine ya Usaili wa Mahojiano TRA?

    Ile paper ya tra ilikuwa kukamilisha ratiba tu maana paper kama kukomoana watu wa customs wametolewa maswali ya tax
  2. Ustadh tongwe

    MTWARA: Rais Samia afukuza kazi kuanzia RAS, DC, DED mpaka DAS. Awaonya wateule wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi

    sasa ww unasema rais na pm wanaona madudu halafu vyombo vya usalama hawajui hayo madudu wakati hvyo vyombo ndio vinampa taarifa zote Rais na Pm ww ukimkuta rais au pm anataja mpk majina ya wapigaji ujue kuna watu hawajalala kufuatilia hyo inshu yy akija anapewa tu ripoti akishika mic akianza...
  3. Ustadh tongwe

    Hivi kazi ya TAKUKURU ni kusubiri hadi wapewe maaigizo, nini maana ya kuzuia?

    Kwahyo ukiwa takukuru hutakiwi kuwa na rafiki wa halmashauri?
  4. Ustadh tongwe

    Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

    Hila hela za kustafu sijui zina shida gani unakuta mtu anajielewa ana akili timamu kabla hajapata zile hila wakishastaf ile hela ikiingia kwenye account anaona kuna million 100 hapo akili inabadilika hela ikiisha akili zinarudi na hata sisi tunaoandika hapa tunawaponda wazee wetu lakini mwisho...
  5. Ustadh tongwe

    Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake

    Una maana wanamuonea huyo mama sababu ya pesa zake?
  6. Ustadh tongwe

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Ambao ungemalizia hila uwe mtanzani mwenye ndugu nssf bila hvyo hata field hupati walikuwa wanamsema dr dau sasa hv kipo wapi
  7. Ustadh tongwe

    Je, graphics designers wanakata leseni gani?

    Sio kweli usikate stationary leseni ya graphics design elf 80 na stationary laki 1 utapgwa 20 kizembe halafu wakija wakaguzi hawakuelewi watakwambia sio leseni ya hapo watahisi umehamisha leseni kutoka ofisi nyingine kuzugia
  8. Ustadh tongwe

    Walioitwa kwenye usaili TRA idadi yao ni kama Nchi zima

    Kwann utoke dsm to dodoma wakti watu wamepangwa sehemu walizokuwepo au haukuandika anuani
  9. Ustadh tongwe

    Wale wa TRA mkeka upo hewani

    Never give up brother mpk kieleweke zikitoka tena tusichoke mimi mwenyewe nimekosa na qualification zote nnazo hila ule mkeka ulivyo na nyomi 6000+ halafu sipo nimeona sio wakati wangu
  10. Ustadh tongwe

    Wale wa TRA mkeka upo hewani

    Muda wake tu haujafika itafika muda wake ataitwa
  11. Ustadh tongwe

    Wale wa TRA mkeka upo hewani

    Watu wengiiii hvyo vigezo vyako watu zaidi 200 wanavyo mliopata kajaribuni bahati tuliokosa tuombe mungu next time ww unafikiri kila alieomba achukuliwee hyo interview siitakuwa mwezi mzima
  12. Ustadh tongwe

    Usaili Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

    Insha Allah iwe kheri maana kuitwa tu kwenye interview bahati hata kama utakosa
Back
Top Bottom