Habari wanajukwaa, natumai wote mko poa. Shida yangu naomba kufahamishwa ikiwa kuna usafiri wa treni kuanzia Dar to Shinyanga na ni sh. ngapi na inachukua muda gani. Wassalam
Okey? Wewe unafundisha hapo siyo?
nyumba zipo mkuu ila za kubanana kuna headmaster alikuwepo hapa anaitwa Angelo we hutamkuta amehamishwa alikuwa mnoko huyo we acha tu. njoo utatukuta mzee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.