Kuna SMILE, TTCL kwa speed voda anasimama kwa maeneo mengine, sema inategemea na eneo ulilopo sio maeneo yote unapata the same speedInternet ya hovyo...hakuna ..i repeat no one can beat vodacom's internet speed
Wamejitahidi, ila kwa halotel gb 1 unaipata kwa buku tuRudi nyumbani Kumenoga, TTCL inafanya vizuri
View attachment 1108552
Nafurahia ukaribisho kwa GB60
Vipo vifurushi vya
- Siku
- Wiki na
- Mwezi
Ni uchaguzi wako kulingana na mahitaji yako.
View attachment 1108551
#5. 10GB = TZS. 10,000
Nikiunga mara mbili, nakamilisha wiki.
Pia wana BOOM PACK, nayo iko vyema
Rudi nyumbani Kumenoga, TTCL inafanya vizuri
View attachment 1108552
Nafurahia ukaribisho kwa GB60
Vipo vifurushi vya
- Siku
- Wiki na
- Mwezi
Ni uchaguzi wako kulingana na mahitaji yako.
View attachment 1108551
#5. 10GB = TZS. 10,000
Nikiunga mara mbili, nakamilisha wiki.
Pia wana BOOM PACK, nayo iko vyema
Speed kubwa inategemeana na eneo na eleo. Kuna maeneo voda inakuwa na speed kubwa na kuna maeneo mengine voda hiyo hiyo speed yake kama kobe. Maeneo mengine halotel inakuwa na speed kubwa wakati tigo, voda na airtel wanakuwa na speed ya kobe. Hivyo hivyo kwa airtel na tigo kuna maeneo yanakuwa na speed kubwa tu na maeneo mengine utakereka kwakuwa hovyo kwenye huduma ya internet.Hivi kuna mtandao wenye speed kubwa zaidi ya voda?
Shida ya voda vifurushi vipo ghari sana. 2500 kwa tigo napata GB 2.5 na dk kibao mpaka za mitandao yote. Halotel 1000 napata GB 10 kwa usiku. Voda kwa 1500 unapata kama 2.5 kwa usiku.Hivi kuna mtandao wenye speed kubwa zaidi ya voda?
Amemwaga ugali umemwaga mboga?Ni mkate fulani hivi wa nyama
Aisee...! Afadhari ya wewe mi nilikua napata 26KB/sKuna siku niliunga lile la usiku kwa 1000 unlimited internet dah nilijuta ni mwendo wa 123.56 KB/s
Jina lako imekaa ki Viet Viet hivi,Halotel wamenikosha sana roho Jamani
500MB shillings 500
1000mb shillings 1000
15gb elfu kumiiii na dakika na sms kibaoooo nani kama Halotel hakuna jamani Hamieni halotel huku mambo ni mazuri....
weka pesa yako halopesa.... utweza kujiunga vifurushii hivii.......
hawajawhi kuniangusha niko nao snice 2015 till now hawajawahi kuniboaa..
Insta inamaliza sana mbNimejiunga jana hiyo ya 1000 unapata gb1wiki nmejiunga saa 5asubuhi kufikia saa 11jioni mb eti zimeisha sijaingia you tube ni jamii forum na insta tu basi
Nashangaa hawa vijana wanaoisifia, yaan ata ukifungua YouTube mpk ije ifungie utakuwa umesubiri zaidi ya dk 5, niliinunua kesho yake nikaivunja vunja kwa hasira.Kuna siku niliunga lile la usiku kwa 1000 unlimited internet dah nilijuta ni mwendo wa 123.56 KB/s
Basi msigeneralise kuwa wako vzr kwakuwa wote hatuwezi tukahamia kwenye minara yaoInategemea na eneo ulipo mkuu
Kama Mimi nipo karibu na mnara wao aisee uwa naenjoy sana
Nilitaka niwakimbie zantel nikasajili halotel bt kwa speed yao ya mwendo wa kobe kesho yake niliivunja vunja na kuitupaNimetumia Halotel tangu 2015 ila lately speed ya data inasumbua sana
Siwezi tena stream Netflix au YouTube bila kufanya buffering. Shame...
ZantelHivi kuna mtandao wenye speed kubwa zaidi ya voda?
Nimetumia Halotel tangu 2015 ila lately speed ya data inasumbua sana
Siwezi tena stream Netflix au YouTube bila kufanya buffering. Shame...
Mkuu nielekeze namna ya kufanya hiyo buffering na mimi
Ndo Mana nikasema inategemea na eneo ambalo upo, unaweza ukawa upo mbali kidogo na mnara na ukaenjoy speedBasi msigeneralise kuwa wako vzr kwakuwa wote hatuwezi tukahamia kwenye minara yao