Tumeaminishwa kuwa majina ya kizungu/kiarabu ni bora zaidi kuliko majina yetu ya asili na pia tumeaminishwa kuwa kutumia majina haya mapya ni aina fulani ya ustaarabu au kuelimika.
Lakini pia tumedanganywa kuwa baadhi ya majina yetu ukimpa mwanao atarithi tabia za jina hilo kama liliwahi...
Kwangu hii ni mara yangu ya kwanza kufanya kilimo hiki. Ila niliambiwa kuwa inaweza kutoa debe 12-18. Jibu sahihi kabisa nitakalokuwa na uhakika nalo nitalipata nitakapovuna maana hayo ndio yatakuwa matokeo halisi ya kutoka field kwa experience yangu mwenyewe.
Labda kwa wadau wenye experience...
Tunamshukuru Mungu maendeleo ya mazao yanatia moyo, tuna matumaini ya kupata.
Kwa hali ya hewa bado inasapoti kulingana na nature ya maeneo niliyolima, japokuwa mvua zinanyesha sana ila maeneo niliyolima hayatuamishi maji ni maeneo ya juu kidogo hivyo athari za mvua hazijaonekana sana hivyo...
Mwaka huu nimefanya majaribio ya kulima ufuta wilaya ya Malinyi. Nimelima hekari 10, sijalima kitaalamu badala yake nimelima kama wakulima wa maeneo hayo.
Gharama za uendeshaji kuanzia December 2019 hadi sasa March 2020 ziko kama ifuatavyo;
Kukodi eneo hekari 10@30000 = 300000...
Inaumiza sana!
Pole sana Paula Paul kwa kuondokewa na mama!
Mungu ameruhusu leo mama yetu ahitimishe safari yake ya hapa duniani! Jina la BWANA lihimidiwe!
Mungu awatie nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu cha msiba!
Apumzike kwa amani mama yetu!
Pole sana dada Paula Paul kwa maumivu anayopitia mama!
Madaktari wanatibu lakini Mungu ndio anaponya. Afya, uhai na uzima unatoka kwa Mungu!
Kwa uwezo wa Mungu mama anaweza kuishi zaidi ya siku walizotaja madaktari! Mungu wetu ni mwaminifu. Nitaomba kwa ajili ya afya ya mama yetu!
Binafsi sijafanya kazi zangu tangu jana kwa sababu ya taarifa hizi za kizushi.
Ninachokiongea namaanisha sio kama wewe unayedhania tunafanya siasa!
Kuna kazi zilitakiwa weekend zikamilike zimeshindikana hivyo nalazimika kufanya compensation jumatatu na jumanne na hivyo ratiba nzima ya wiki...
Nafikiria ingekuwa inawezekana kwenda kufungua kesi mahakamani kwa athari niliyoipata kutokana na taarifa hizi za uzushi.
Waanzilishi wote wa mada pamoja na wahariri wa majukwaa wamesababisha taharuki na pia wameniathiri mimi kama msomaji wa mitandao.
Kuna kazi nilishindwa kufanya tangu jana...
Kwa hiyo unamaanisha kwa kuwa halijatimia walilotaka wao basi naye aje ashughulike nao atakavyoona inafaa?
Kwa mawazo hayo ni ngumu sana hata kupasiana vijiti vya uongozi kwa vyama vingine maana wanawaza wakipata nao wawashughulikie waliopata, nani yuko tayari kushughulikiwa?
Tusipende sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.