Mkuu wala hawalazimishwi tena unaweza ukalipa kwa awamu ila kwa muda mfupi.
Hapo ukiangalia hiyo picha sioni kama DC amemlazimisha ila huyo mama ameshavaa kitambulisho ambacho ni kama DC anakikagua.
Sema wewe picha umeipa maneno!
Hivi kama angekuwa anatoa shilingi 200 kwa kila siku ndani ya siku 200 atakazofanya kazi itakuwa ametoa elfu 40.
Sasa unafuu uko wapi kuchukua kitambulisho kwa elfu 20 au kukata ushuru wa elfu 40 kwa siku hizo 200 na nimefanya siku 164 hajafanya kazi.
Maana ukipanga sokoni na maeneo rasmi kuna...
Salaam wana jamvi!
Naandika uzi huu wa kitafiti kama sehemu ya JAMII TALKS, nikiwa na furaha ya ushindi wa timu yangu Liverpool kutinga fainal ya CL kwa kishindo dhidi ya Barcelona.
Nirudi kwenye mada, last week nimetimiza miezi 4 toka nihamie Iringa kikazi nikiishi eneo la Mkimbizi, nimehamia...
KWA UVCCM IMARA, MCHAGUE KHERI DENICE JAMES.
Kwa muda mrefu utendaji kazi wa Jumuiya ya umoja wa vijana CCM (UVCCM) haijaweza ama kufanikiwa kugusa matarajio ya vijana wengi nchini hususani walio ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Ni vyema vijana tukitambua kuwa uchaguzi wa mwaka huu 2017 (bila...
Hali ni mbaya zaidi kwa CHADEMA hasa kwenye haya matokeo ya udiwani katika Kata 43.
Viongozi wa Chadema wanataka kutuaminisha kuwa uchaguzi huu ukiingiliwa na vyombo vya dola na mbinu chafu ya CCM.
Lakini jiulize mbona hadi siku ya mwisho wamefanya na kufunga kampeni?
Mbona jana hadi saa 5...
Hivi nani asiyemfahamu Mkuu wa Wilaya ya Iringa kwa uchapakazi wake, ukada wake na umaarufu wake?
Nilishangaa sana kutomuona ndugu Kasesela kwenye uteuzi wa juzi wa Wakuu wa Mikoa 6 ambapo Mheshimiwa Rais Dk. Magufuli alifanya mabadiliko madogo.
Ila sasa nimepata majibu baada ya kurunzi langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.