Ss na ww mleta uzi km Lema na Nassari wanaushahidi wa madiwani wao kuhongwa mbona hzi clip hawazitoi kn co uwongo na km chama kilichagua wtu ambao niwepec kuhongeka kiac hki hvi kweli ktakuwa na upinzani nchi hii na km mnaweza kufanya uchunguzi wenu wa cri na mtu asjue mpka mkarikodi vidio mbona...
Hapa ndipo ninapoona upinzani wa Bongo usivyokuwa serious mtu anaaminiwa na chama baada ya mda mfupi anakuwa na tamaa ya ajabu ajabu eti halafu anajiita mchungaji mchunhajia gni hyo ama ndio wale wachungaji feki waliozungumzwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.