Hii balaa,Arusha mfanya biashara kapigwa risasi
Dar msomi kapigwa risasi
Zanzibar watalii wamwajiwa tindikali.
Sasa nimeanza kuamini usemi alioniambia rafiki yangu mmoja leo mchana kuwa watu walikuwa wamefunga kutenda dhambi sasa leo wanafungulia.HII HATARI.
Ni kweli kabisa kila mtu anao uhuru wa mawazo.
But unapotoa mawazo yako sometime ni vyema ukafanya consultation kwa wahusika ili uweze kujua ni kwa nini wanafanya hivo,kwa mfano kuweka speakers na loud speakers makanisani/misikitini ili hata kama wewe ni mpagani madaam uliumbwa na uyo Mungu...
Pole my sister for what happen to you.
But congrats for a stages you have achieved,of course damu ni nzito,na jambo zuri ni kwamba umefikia wakati wa wewe kujitambua na kumhitaji baba ako mzazi bila kujali alikulea au la and you okay with him.mimi naweza nikafikiri kwamba uyo baba yako mzazi...
Hivi ni kwa nini Elimu lisiwe ni suala la kikatiba badala ya kuwaachia watu wachache kulishikilia?,
Katika nchi zote zilizo endelea Elimu imewekwa kipaumbele cha kwanza na bila shaka hakuna kiongozi yeyote anayeweza kupindisha msimamo wa taifa juu ya mipango ya elimu yao iweje,nafikiri hii...
Majanga;Terrible.lakini tusijari sana yupo atakayependa usafi na atakayependa uchafu pia yupo.
So msimamo wako binafsi ndo unamata zaidi.
Mimi msimamo wangu ni kumweshimu Mungu aitwaye YESU KRISTO kumtumikia yeye na nimwelika ayaongoze maisha yangu.
Na wewe amua wako
Kuna watu nawaheshimu sana hapa nchini kwetu lakini uvumilivu unanishinda kuendelea kuwaheshimu kutoka na kutoa maneno midomoni mwao bila kuushirikisha ubongo.Toka nizaliwe ndo nasikia hii.eti mtu anaweza kuchukua bomu na kulipiga nyumbani mwake mwenyewe na huku anajua sifa za bomu likilipuka...
Poleni sana Arusha,unajua kumng'oa kupe kwenye kidonda hawezi kukubali kutoka hv hv,lazima hatoke na nyama.
This is the sign of change,kama uamini fuatilia nchi zote zenye mabadiliko damu ilimwajika,ndicho kinachotekea ss tz,kwani hata kama kuna makosa wamefanya hao chadema kuna haja gani ya ku...
Look politicians, a day will come and you will be required to pay all evil you did to Tz
This is not Tz i use to have,you have spoiled my country.Inafika wakati eti chama nacho kinatengeneza ka small jesh,si ndo mwanzo wa kuandaa waasi na magaid?.hawa wana usalama wanaliona hilo?,wanalinda...
Hii ndo bongo bwana,kama kawa kila kitu kinafanywa kiolela tu.nashangaa sana wakubwa waliipigia debe sana hicho ki star times,kuna nini nyuma ya pazia?.
Nafikiri ikitoka star tv na ITV hicho king'amiz akina maana tena.so star times wajipange upya ua kama vp wasepe hapa bongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.