Recent content by uranium

  1. uranium

    GE2020 Mwenyekiti wangu jihadhari kwa CHADEMA hii kuna kitu mbele yao we hujui tuu

    acha bangi Dunia yenyewe haitodumu milele. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. uranium

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    kwani EL yule wa 2015 ndio huyu wa leo?! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. uranium

    Rais Magufuli: Kama umesoma 'private school' atakayekupa mkopo ni kichaa

    Nakubaliana nawe 100%! Atakaelipa huo mkopo ni mwanafunzi na sio mzazi alelipa ada za private. Pia marejesho yana riba ambayo ni faida kwa serikali. Kila anaeomba apewe kwani wengine enzi hizo walisoma bure kabisa.
  4. uranium

    Makonda kuweka umeme shule zote za msingi na sekondari jijini Dsm

    Usafi wa jiji! Ombaomba! Shisha! Mateja! Taxi meters! Garages! Showroom! Walimu kusafiri bure! N.k
  5. uranium

    Channel ten inasoma magazeti elekezi tu!

    Nimeshangazwa na kitendo cha TV hiyo asubuhi ya leo iliyopo katikati ya jiji kusoma magazeti 3 tu, Habari Leo, Uhuru na Daily News. Hivi inawezekana kwa location walipo pale mtaa wa Jamuhuri/ Zaramo kuyakosa magazeti mengine au ndio wameshashikwa pabaya?!
  6. uranium

    CCM ya Polepole imepoteza ushawishi kwa vijana

    Kwani Polepole ni kijana?!!
  7. uranium

    Je, NAS Haulage kamhonga gari Paul Makonda ili asisumbuliwe kuhusu tuhuma za madawa ya kulevya?

    Eti "NIMETUMWA NA MUNGU KUTIMIZA SHERIA" Mungu wa ccm au?!
  8. uranium

    Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

    Yu wapi Magessa Mulongo?!
  9. uranium

    Madawa ya Kulevya Awamu ya III: RC Makonda amkabidhi majina 97 Kamishna Mkuu wa madawa ya kulevya

    Ingekuwa China tayari tungeshamsahau. Ila kwa kuwa yupo kwenye genge la wenzie anaofanana nao hakuna noma.
  10. uranium

    House4Sale Anayehitaji kununua apartment Upanga

    Huyu sio muhusika atakuwa kishoka. Bei sio siri
  11. uranium

    Zitto Kabwe: Nitajiuzulu Ubunge kama Serikali itanionyesha tani milioni 1.5 za Mahindi

    Tani 1 = kilo 1,000 Tani 1,500,000 = kilo 1,500,000,000 sawa na kila raia Nchi nzima apate kilo 34!
Back
Top Bottom