Nakubaliana nawe 100%!
Atakaelipa huo mkopo ni mwanafunzi na sio mzazi alelipa ada za private.
Pia marejesho yana riba ambayo ni faida kwa serikali.
Kila anaeomba apewe kwani wengine enzi hizo walisoma bure kabisa.
Nimeshangazwa na kitendo cha TV hiyo asubuhi ya leo iliyopo katikati ya jiji kusoma magazeti 3 tu, Habari Leo, Uhuru na Daily News.
Hivi inawezekana kwa location walipo pale mtaa wa Jamuhuri/ Zaramo kuyakosa magazeti mengine au ndio wameshashikwa pabaya?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.