Hakuna kitu alichofanya kikafanyika Mpaka leo hii,haya kaingia kwenye umeme Ngoja tuone nayo...
Ova
Kwahiyo hapo nyumbani kwako ni Tanesco au unatumia vibatari?!!!kwan yeye tanesco?..
Mafanikio yke huwa ya uwongo wa kupikwa na mavuvuzela yke humu kma mbwa coco na wengineoHala hala tu asichangishe walimu, make kwenye media anatangaza anafanya nyuma ya pazia anawakamua walimu....
Hivi vile viwanja vya walimu vipi tushanunua cement eti tunasubiri viwanja tu
Mwambie ufipa umeme ulikuapo toka baba yke hajatoa govindaUfipa nyumba zte umeme upo tangia enzi za bryson mb
Ova
Kwenye ujenzi wa aofisi za walimu, walimu wakuu manispaa niliyopo wamekamuliwa laki 2 na nusu za ujenzi ni lazima sio hiyari.Mafanikio yke huwa ya uwongo wa kupikwa na mavuvuzela yke humu kma mbwa coco na wengineo
Huyo tunamjua hajawahi hata kufanikiwa lolote zaidi ya issue ya tl kutaka kumtoa roho,mungu hajawahi kua upande wake hata cku mojaKwenye ujenzi wa aofisi za walimu, walimu wakuu manispaa niliyopo wamekamuliwa laki 2 na nusu za ujenzi ni lazima sio hiyari.
Ila kwenye media anaonekana nguvu zake teh
Naona unaota au umekunywa ulanzi???Habari nzuri
Dar inaelekea kuwa kama Ulaya
Makonda oyeeeeeee
Makonda ni kati ya wakuu wa mikoa hodari kabisa achilia mbali na utata wa vyeti. Hawa wengine wanaowasujudu mange na gwajima wakupuuzwaJana Tu Nime Type Txt Apa Ya Kumkubali Makonda Kuna Jamaa Alini Mind Kwa Matusi Namshukuru Mungu Kwa Maana Makonda Anazidi Kupata Heshima ,,, I Think Anafaa Kua Prime Minister ,,,
Nyie vipofu hamuwezi ona zaidi ya mbowe akitoa neno ndio mnaona na kusikiaHakuna kitu alichofanya kikafanyika Mpaka leo hii,haya kaingia kwenye umeme Ngoja tuone nayo...
Ova
Mungu alikua upande wake kwenye swala la vyetiHuyo tunamjua hajawahi hata kufanikiwa lolote zaidi ya issue ya tl kutaka kumtoa roho,mungu hajawahi kua upande wake hata cku moja
Hahaa dadadeki alikua mpole kma kuku anaetagaMungu alikua upande wake kwenye swala la vyeti