Recent content by Upendo K

  1. Upendo K

    Makorongoni, Kigoma: Mkandarasi aliyejenga hii Mitaro ya barabara, kamtia aibu Rais Magufuli

    Wataalam wa mambo Nisaidieni. Huyu mjenzi anataka kujenga kitu gani? Naona aibu sana
  2. Upendo K

    Kumekuwa na ongezeko la wanaojifungua kwa upasuaji, nini tatizo?

    Ni kweri wengine nyonga ndogo lakini wengine watoa nyuma kwahyo wakati wa kupushi mtt anashindwa atokee wapi sababu njia zote ziko wazi
  3. Upendo K

    Inauma sana: Mke wa jirani yangu anachepuka

    Nyinyi mmejisahau kama ndi0 wazinzi wakubwa we kimekuuma nn asalimia kubwa nyinyi ndi0 mnafundisha wake zenu kufanywa nje
  4. Upendo K

    Msaada natafuta mganga mashuhuri wa jadi

    Waganga wapo jamani amjafikwa nyie na matatizo
  5. Upendo K

    Ahsante mume wangu kwa kuachana na mchepuko

    Mume wa mtu mtamu asikwambie mtu
  6. Upendo K

    Mke wa mtu anataka nimpe mimba

    Mpe tu hiyo mimba msaidie jamani
  7. Upendo K

    Yamenikuta leo aminini kuna Mademu Makomando Duuh huyu leo angeniua!

    Nimecheka sana leo jamani hapana mkome kuvamia madem ovyo
  8. Upendo K

    Ushauri: Kwenu kina dada wenye umri wa miaka 31-50

    Uko sawa kabisa mwanaume pesa na mashine uzuri hata mbuzi anao bwanaaa
Back
Top Bottom