Recent content by Upendo iswa

  1. Upendo iswa

    Mfano ukapata shida ya ghafla, una mtu wa kukusaidia kwa haraka?

    Kaka yangu na wazazi wangu tu. Marafiki ni wanafiki tu hawana msaada kwangu hata yule rafiki wa karibu nusu namuona kama ni adui yangu wa baadae
  2. Upendo iswa

    Video: Je, hiki ndio kimesababisha Kemikimba, Katibu Mkuu Wizara ya Maji kutenguliwa?

    Huyu mama kazingua sana unadhani aliyeandika hicho kimemo amejisikiaje?! Huenda kimemo kilikuwa na ujumbe mzuri wa kujenga, pia wa kukumbushia jambo sema tu viongozi walio wengi hawapendi kufundishwa, au kuelekezwa wanahofia kuwa nafasi zao zitachukuliwa na aliye na uwezo mkubwa. Anasahau kwamba...
  3. Upendo iswa

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Shetani ni mbaya sana
  4. Upendo iswa

    Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Elewa tu kwamba baba hawezi kupewa mtoto akamlee katika umri huo. Pia Sheria ya mtoto inaelekeza kuwa ni wajibu wa baba kumpatia mahitaji ya mtoto
  5. Upendo iswa

    Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Sababu ni kuwa bado mtoto anahitaji malezi ya mama kwa ukaribu sana kwa umri chini ya miaka saba hawezi kujitegemea katika kufua, kula, kuripoti matukio ya ukatili, n.k pia miongizo ya ustawi wa jamii haiwezi kukuruhusu ukae na mtoto chini ya umri wa miaka 7 labda mama awe na tabia hatarishi za...
  6. Upendo iswa

    Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Suala la baba kumchukua mtoto labda mazingira ya mama katika kumlea mtoto yawe hatarishi mfano Mama anaenda bar na mtoto, au anaishi katika danguro au anajiuza, mnywaji wa pombe kupitiliza, analo tatizo la afya ya akili n.k mtoto anatakiwa alelewe na mama hadi pale atakapokuwa mkubwa
  7. Upendo iswa

    Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Ila lazima aanzie ustawi wa jamii boss , kama mhusika atakaidi barua ya wito mara tatu shauri linapelekwa mahakamani
  8. Upendo iswa

    Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Nenda ofisi za ustawi wa jamii kajieleze huyo mwanaume ataandikiwa barua ya wito mtaitwa wote mkajadili pamoja mustakabali wa malezi na makuzi ya mtoto, mwanaume atapangia kiasi cha pesa atakachopeleka kila mwezi ustawi wa jamii kwa ajili ya mwanae
  9. Upendo iswa

    Haikuwa kazi rahisi kumng'oa Dr. Eliona Kimaro Kijitonyama, tulitumia mbinu nyingi ziligonga mwamba

    Kama Mungu aishivyo, na ameweka kusudi lake ndani ya Kimaro lazima litimizwe! Kimaro atarudi tu hata kama siyo kwenye usharika wa Kijitonyama ataenda sehemu nyingine na patakuwa na nuru
  10. Upendo iswa

    Tuliachana vibaya, kila mtu amepiga hatua kwenye maisha yake, ila kawa mzuri zaidi

    Mwanamke matunzo, alikutana na anayejua kupenda na kuthamini
  11. Upendo iswa

    Nimepoteza kazi kwa sababu ya fitna

    Pole sana mkuu majungu fitina vimetawala ofisini, ni hekima busara na subra ndo vinavyotuweka tunaendelea kufanya kazi
  12. Upendo iswa

    Kuna Wanawake Wana upepo wa mafaniko, ukiwa nao unafanikiwa

    Sijaona mahali ulipoandika kuwa umefanikiwa kusaidia ndugu zako au wazazi wako.. naona upande wa wakwe tu na mchepuko! Au kwenu mpo vizuri kifedha
  13. Upendo iswa

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Inaoneka hampo katika in good terms na huyo mzazi mwenzako...kama ameshakutolea mahari kwa nini taratibu nyingine za kufunga ndoa zisifuate? Mtoto bado ni mdogo hawezi kukaa na baba yake fanya utaratibu ukamchukue mwanao Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom