Huyu mama kazingua sana unadhani aliyeandika hicho kimemo amejisikiaje?! Huenda kimemo kilikuwa na ujumbe mzuri wa kujenga, pia wa kukumbushia jambo sema tu viongozi walio wengi hawapendi kufundishwa, au kuelekezwa wanahofia kuwa nafasi zao zitachukuliwa na aliye na uwezo mkubwa. Anasahau kwamba...
Sababu ni kuwa bado mtoto anahitaji malezi ya mama kwa ukaribu sana kwa umri chini ya miaka saba hawezi kujitegemea katika kufua, kula, kuripoti matukio ya ukatili, n.k pia miongizo ya ustawi wa jamii haiwezi kukuruhusu ukae na mtoto chini ya umri wa miaka 7 labda mama awe na tabia hatarishi za...
Suala la baba kumchukua mtoto labda mazingira ya mama katika kumlea mtoto yawe hatarishi mfano Mama anaenda bar na mtoto, au anaishi katika danguro au anajiuza, mnywaji wa pombe kupitiliza, analo tatizo la afya ya akili n.k mtoto anatakiwa alelewe na mama hadi pale atakapokuwa mkubwa
Nenda ofisi za ustawi wa jamii kajieleze huyo mwanaume ataandikiwa barua ya wito mtaitwa wote mkajadili pamoja mustakabali wa malezi na makuzi ya mtoto, mwanaume atapangia kiasi cha pesa atakachopeleka kila mwezi ustawi wa jamii kwa ajili ya mwanae
Kama Mungu aishivyo, na ameweka kusudi lake ndani ya Kimaro lazima litimizwe! Kimaro atarudi tu hata kama siyo kwenye usharika wa Kijitonyama ataenda sehemu nyingine na patakuwa na nuru
Inaoneka hampo katika in good terms na huyo mzazi mwenzako...kama ameshakutolea mahari kwa nini taratibu nyingine za kufunga ndoa zisifuate? Mtoto bado ni mdogo hawezi kukaa na baba yake fanya utaratibu ukamchukue mwanao
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.