Recent content by Upendo iswa

  1. U

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Juzi nimefuatilia wanadai hadi uende na kiapo cha mahakamani kuwa hujapata kazi nyingine kipindi cha miezi sita
  2. U

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ajira Mpya (Walimu) Temeke tuliwekewa Laki 9, tukaambiwa ni nauli, sasa hivi wanatuambia turudishe

    Anayo majibu ya ovyo sana hajui kama anajibu watu wazima wenzie
  3. U

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ajira Mpya (Walimu) Temeke tuliwekewa Laki 9, tukaambiwa ni nauli, sasa hivi wanatuambia turudishe

    Sisi ajira mpya kada ya afya halmashauri ya wilaya ya Shinyanga hatujapewa pesa ya kujikimu tunateseka sana viongozi wamekaa kimya hakuna anayeongelea hili jambo. Maafisa utumishi wanayo lugha chafu Kuna mmoja anaitwa Sarah
  4. U

    JamiiForums Tanzania Route mpya ya daladala kuanzia Mbezi Luis hadi Kidimu Mkombozi Kibaha kupitia Loliondo imeanza

    Imeshaanza japo magari bado ni machache
  5. U

    JamiiForums Tanzania Route mpya ya daladala kuanzia Mbezi Luis hadi Kidimu Mkombozi Kibaha kupitia Loliondo imeanza

    Lami ipo kuanzia Loliondo hadi Kidimu
  6. U

    JamiiForums Tanzania Route mpya ya daladala kuanzia Mbezi Luis hadi Kidimu Mkombozi Kibaha kupitia Loliondo imeanza

    Route mpya ya Mbezi hadi Kidimu Mkombozi Kibaha imeanza. Hatimae Latra wameikumbuka Kibaha na kuanzisha route mpya inayotoka Mbezi Luis hadi Kidimu Mkombozi kupitia Loliondo imeshaanza. Wakazi wa Kibaha kwa sasa watapata unafuu wa usafiri kuelekea mjini, pia mji utaendelea kukua kwa kasi. Latra...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante mkuu
  8. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sometimes google map hazisemi ukweli kama huwezi kujibu pita hivi ...nilitaka nijue kama halmashauri ipo mjini au vijijini sana baada ya kushuka kwenye bus
  9. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama unajua si uelekeze tu
  10. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ipo maeneo gani hapo mkoa wa Shinyanga?
  11. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba kujua halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ipo sehemu gani?
  12. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante mkuu
  13. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na mimi nimepata kazi serikalini Mungu ni mwaminifu sana
Back
Top Bottom