Uzi kama unavojieleza, tujuzane sehemu nzuri za kutafuta ugali wakuu. Yani ukipata hapo angalu maisha yanaenda.
Mimi naanza na hizi japo sijui naskia sikia watu wakisema.
1.TCC - Sigara
2.Mbeya Cement
3.Barick
4.TBL
5.Coca Cola
Amini kwamba unaweza kua na kibarua cha kawaida tu ambacho kinakupa walau laki 6, 7 - 8 kwa mwezi na ukakosa mke. Wasi wasi ukiwa ni kipato hakitoshi.
Je mliofanikiwa hapa mlianza vipi?
Baada ya kuwaza kwa muda mrefu ningependa kushauri baadhi ya taasisi binafsi hasa zenye wafanyakazi zaidi ya 200+ zisimamiwe na Serikali direct kwa kuajiri HRs au HR waripoti Serikalini na sio kwa waajiri binafsi kama ilivo sasa.
Sababu za kufanya ivyo na faida zake:
1. Kumwezesha HR kusimamia...
Ndugu wana Jf sote tunakumbuka MO alipotekwa na watu WASIOJULIKANA taifa lilivyopaza sauti , je haoni ama hasomi vyombo vya habari kujua kuna mtu katekwa kama yeye ??
Japo kutoa ni moyo sio maonyesho lakini tumepata msiba wa ndugu na Mtanzania mwenzetu MFANYABIASHARA MWENZAKE je haoni ata...
NAOMBA UTAFITI WAO USOMEKE IVI, ASILIMIA 61% YA WAHATIMU WA VYUO VIKUU TANZANIA HAWANA UZOEFU NA CONNECTION ILI WAWEZE ATA KUPATA NAFASI YA KUJITOLEA KWENYE MAENEO YA TAALUMA ZAO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.