1. Kwa kuzingatia matukio mengi ya kifisadi na rushwa like Richmond, EPA, Kagoda, Ubinafsishaji wa bandari , matukio mengi ya rushwa regarding to CAG reports etc, ni wazi kwamba our Economic Intelligence ( Under SSIT) is not in action!
Kwa mtazamo wako, ni kwanini hatuupi umuhimu uchumi wetu...