Recent content by Unju94

  1. U

    Maziko ya Ayatolla Khamenei yameahirishwa muda huu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa Iran

    Wanye tuu mazishi halafu tuone nani atafanya nyenyenye
  2. U

    Naomba KAZI yoyote

    Nenda iran mkuu
  3. U

    Kuna uwezekano mkubwa sana michuano ya WORLD CUP kuahirishwa

    Hahaha Gentleman peleka buku 7 nyumbani wakanunue ngunyani wapike na ugali
  4. U

    Mshikamano: Tuwatakie ndugu zetu mfungo mwema

    Hapa upo sahihi ndugu mshana,, mambo ya kiroho mhhh
  5. U

    Mshikamano: Tuwatakie ndugu zetu mfungo mwema

    Wakushinda njaa endeleeni mimi nagonga milo minne kama kawaida Nawatakia milo mema
  6. U

    SGR pamejaa dini pendwa?

    Cc: Mwalimu wa tuisheni njoo ona ndugu zako wanalialia
  7. U

    SGR pamejaa dini pendwa?

    Mimi ni christian ila waislamu wana aibu kwenye kupiga madili, nadhani dini imewashep kwenye uadilifu
  8. U

    Magaidi kutoka Nchi 22 walijiunga na kundi la Wanamgambo wa Israel -IDF

    Kwani kimbari maana yake ni nini we myahudi wa kabale...
  9. U

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Sasa tulieni muangalie game ya viwango vya dunia Ft: Al ahly win , Yanga win 😂😂😂
  10. U

    FT: Young Africans SC 3-0 JS Kabylie | CAF Champions League | New Amaan Complex | Feb 15, 2026

    Kiongozi umri wako sio wa kufanya ulozi mkuu 😀😀😀😀
Back
Top Bottom