#Naona CCM kushika Nchi tena 2025-2030
#Naona Baadhi ya Wakeleketwa wa CCM kugonga Nyundo Usukani wa Gari Lao
#Naona Raisi mwingine na Siyo SSH.
#Naona Chadema Kulegeza Kamba za SSH.
Habari Wakuu
Mi Ni Mwalimu Ajira Mpya Serikalini 2025.
Nimeingia tu naona Mshara wangu Kizibo Afu Mahitaji Yangu Ni mengi sana.
Naomba Ushauri, Nijishugulishe na Kitu Gani Kingine Ambacho kitaniongezea Kipato Changu.
Naomba Ushauri wenu.
Habari wakuu,
Nimekuwa Kimya sana toka nimeachilia uzi wangu.
NINA OMBI:: Nimehitimu Mzumbe mwaka 2021 Bachelor of Science with education in Mathematics and ICT. Mpaka Leo Sina Kazi Hivyo Anayeitaji kijana , Najiamini mi Ni mchapa Kazi, Nipo Kimara - Dar es Salaam Natafuta Kazi.
Nipo tayari...
Nimechaguliwa mzumbe ,Naombeni ushauri wenu ,Je katika kozi hiyo,ni upande gani ambao katika ajira zake inalipa,katika ishu ya fedha(mshahara).
Mapondo myaweke pembeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.