Recent content by Unique Creature

  1. Unique Creature

    Rais wa Burkinafaso Ibrahim Traore akiusalimia Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Jakaya Kikwete kwa kuwapa 'tano'

    Ikitokea Janabi Kashinda, Sisi watanzania tuna faidika na nini?
  2. Unique Creature

    Kipanya: Tazameni alichokuja nacho leo

    #Naona CCM kushika Nchi tena 2025-2030 #Naona Baadhi ya Wakeleketwa wa CCM kugonga Nyundo Usukani wa Gari Lao #Naona Raisi mwingine na Siyo SSH. #Naona Chadema Kulegeza Kamba za SSH.
  3. Unique Creature

    Mwalimu kujiongezea kipato cha ziada

    Habari Wakuu Mi Ni Mwalimu Ajira Mpya Serikalini 2025. Nimeingia tu naona Mshara wangu Kizibo Afu Mahitaji Yangu Ni mengi sana. Naomba Ushauri, Nijishugulishe na Kitu Gani Kingine Ambacho kitaniongezea Kipato Changu. Naomba Ushauri wenu.
  4. Unique Creature

    Wakuu ni ajira gani zilizopo ndani Bachelor of education with science(mathematics and ICT)

    Habari wakuu, Nimekuwa Kimya sana toka nimeachilia uzi wangu. NINA OMBI:: Nimehitimu Mzumbe mwaka 2021 Bachelor of Science with education in Mathematics and ICT. Mpaka Leo Sina Kazi Hivyo Anayeitaji kijana , Najiamini mi Ni mchapa Kazi, Nipo Kimara - Dar es Salaam Natafuta Kazi. Nipo tayari...
  5. Unique Creature

    Wakuu ni ajira gani zilizopo ndani Bachelor of education with science(mathematics and ICT)

    Nimechaguliwa mzumbe ,Naombeni ushauri wenu ,Je katika kozi hiyo,ni upande gani ambao katika ajira zake inalipa,katika ishu ya fedha(mshahara). Mapondo myaweke pembeni
Back
Top Bottom