Recent content by Ungujani

  1. Ungujani

    Acha upotoshaji wewe, hakuna wakati nchi ilikuwa pazuri zaidi kama wakati wa Kikwete

    Hahahaaaa hilil neno lilikuwepo tokea zamani kwenye kiswahili ...au ndo pozi tu za mstaafu akiendelea kula Kodi zetu mpaka kufa kwake!!!
  2. Ungujani

    Jinsi ma aunty wanavyopata vi Ben 10 siku hizi

    Washaolewa na waume zao washakufa!
  3. Ungujani

    Take away imemponza home boy wetu

    Mbona jamaa kanunua cheni na mikufu kwa wingi ...au alikua ana mpango mwengine maisha yakimshinda mjini
  4. Ungujani

    Kutafuta maisha Zanzibar

    Write your reply...Mbona mnatisha kijana ...Kuna wengine huku wamefika wakapokelewa sa hivi ni matajiri wengine viongozi na wana nyadhifa kubwa serikali tumia fursa unayoona itakufaa
  5. Ungujani

    Mashoga ni wengi kiasi hiki Dar?

    Tatizo lako kwenye kuongoza ...hujui kama anaeongoza nae ataongozwa au mpaka upite kichochoro kwa kichochoro cha Arusha na Mwanza ukikuta mashoga ndo utajua huu mchezo umekithiri huko bara
  6. Ungujani

    Mashoga ni wengi kiasi hiki Dar?

    Halafu na wewe ndo uko pwani Sasa jitayarishe na kizazi chako kama umeona ugonjwa huo uko pwani tu ....Mwanza Arusha pia pwani kule ...nahisi pwani ya Iringa karibu itaingia kwenye orodha Sasa sijui mtasema nini
  7. Ungujani

    Mashoga ni wengi kiasi hiki Dar?

    Ina maana uchumi kukua naendana na kuliwa kiboga
  8. Ungujani

    Tuungane kamsaidia ndugu yetu Abdulkarim ambaye kwa sasa anaitwa Rogath.

    Narudia tena Hilo neno halitumiki kusemwa kwa mtu aliekufa ...labda neno Aleluya uwe unauliza Basi usikurupuke
  9. Ungujani

    Tuungane kamsaidia ndugu yetu Abdulkarim ambaye kwa sasa anaitwa Rogath.

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiun ...hilo neno halitumiki kuombewa mtu aliekufa tu ...muwe mnauliza sio mnaenda kwa hisia tu
  10. Ungujani

    Tuungane kamsaidia ndugu yetu Abdulkarim ambaye kwa sasa anaitwa Rogath.

    Write your reply...Sisi waislamu hatuna msaada tena kwake kuhusu masuala ya kidini kwa sababu si muumini mwenzetu tena ...ushauri kuhusu masuala ya dini ya kiislamu ni kwa waislamu tu ...ushauri kwa hao wake zake kama hao wake zake wako tayari kumfuata na wamfuate haraka sana!!!
  11. Ungujani

    Hassan Aziz akamatwa na madawa ya kulevya 1kg

    Huyu dada [[nadhani ni mwanamke]] hii biashara anaangalia kwa woga!!!
  12. Ungujani

    Hassan Aziz akamatwa na madawa ya kulevya 1kg

    Kakwambia nani biashara ya unga itaisha ...au umekusudia unga wa ngano!!!
  13. Ungujani

    Mbeya: Mtuhumiwa adai nyeti zake kutoweka baada ya kudharau onyo la Shekhe la kutembea na bintiye

    Write your reply...Weka picha ya huyo kijana vyenginevyo unatuonea ...japokuwa wengine wanatumia kivuli cha majina [[sheikh& ustadh]] kufanikisha yao
  14. Ungujani

    Ole Millya ameambiwa jina lake halitarudi 2020

    Swali lako lina tafakuri
Back
Top Bottom