Recent content by unec

  1. U

    fahamu njia ambazo unaweza kutumia katika kupata ajira au kujenga mahusiano katika kupata kazi

    Hayo ni yake mr hata kama ni ya mwaka gani bado yanatumika kama bado hujaona, embu toa mawazo yako nawe tuone yako mapya.
  2. U

    Live Star TV: John Mnyika na Job Ndugai

    Hapa Ndugai akishakalia kiti cha bunge anakifanya cha CCM, hata kama ---- mahali pa kutumia busara anaacha ili akitetee chama chake, alishidwaje kutumia hekima ya kumwambia F.Mbowe nakupa dk ama tutaisikiliza hoja yako kwa wakati flani kakimbilia mtoe nje? Kwa walio sikiliza DW jana Tanzania...
  3. U

    Ndani ya jukwaa hili kuna vita baridi kati yetu Boys & Girls, sasa basi jamani tuyamalize hivi..

    Hahahaahaa makubwa, kwahiyo unataka kupata sifa za kila mmoja, haya wanaume wa siku hizi wanajitaidi kutujali japo si sana.
  4. U

    niokoleeni ndoa yangu waungwana

    Kweli mnapokuwa faragha yatakiwa kutuliza akili mlipo na mnachokifanya, pia maombi ni muhimu.
  5. U

    Unajua anavyovihitaji mwanamke kutoka kwa mwanaume ??

    Hahahahaahahah umetisha, kweli unauhakika unaweza ukawa mtaji ama yeye utamgeuza mtaji? La hasha alivyosema yupo sahihi wanaume hampend kusikiliza matatizo ya wanawake.
  6. U

    Asenga Abubakar wa CCM alikoroga ITV

    Kwa kweli nimesoma yote, hamna cha maana alichokisema zaidi kujitapata sehemu isiyokuwa na maji, kanuni anazitaja kufafanua ipasavyo hawez zaidi anafafanua uhongo mtupu.
  7. U

    Nahitaji mtoto wa kiume!

    Real nimefrai kuisoma hii kwan naona nimepata kipya, ila kwa mi nnavyojua mtoto wa kiume anapatikana cku 14 baada ya hedhi kwa mwanamke, na unashauriwa baada ya tendo ucnywe maji labda baada ya masaa kadhaa ndo unywe.
Back
Top Bottom