Recent content by undeadbeast9

  1. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Tanroads wanavyojenga barabara Dar sio kabisa! unakuta sehemu barabara ya lami kilomita kadhaa lakini hakuna sehemu ya watembea miguu wala Vyombo ya kutupa taka na pia sehemu za kupaki magari yani kumejengwa bila mpangilio wowote! Sasa Dodoma kuna jaribu kurekebisha mistake iliyofanya Dar.
  2. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Kuwa mkweli, unapenda sex ya namna gani?

    qmmke mwamba huyu hapa
  3. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kimalezi na kisaikolojia kwa mtoto huyu anayezunguka na Mama yake anayetembea kwa miguu na mikono barabara ya Uhuru Kariakoo.

    Ni vitu ambavyo ni inevitable kutokea lakini suluhisho zak zip jap kupunguza inawezakana lakini sio kuondolewa kabisa
  4. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kimalezi na kisaikolojia kwa mtoto huyu anayezunguka na Mama yake anayetembea kwa miguu na mikono barabara ya Uhuru Kariakoo.

    Labda wanaoweza kumsaidia ni viongozi na Institution kwaajili ya watoto kama huyo na hapa jijini wapo wengi tu kuanzia Ubungo,Kimara,mbagala,kariakoo yani hadi katikati ya jiji ni aibu sma kwa serikali kuachia vitu kama hivyi bila msaada
  5. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua kumbe watu ni makatili,basi shuhudi mtu aliyeiba akipigwa na wananchi.

    Wanakazana kuwabonda Raia wenzao lakini viongozi wanaiba mabilioni kimya! Tatizo Umaskini ndo Adui yetu si binadamu wenzie,juzi tu jirani tu wapangaji walikua wanampiga mwizi mpaka damu kisa kuiba taa asa xi uxnge huo!
  6. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Ni Tanzania tu ambapo utamkuta msomi anaamini kuwa siku moja CHADEMA itakuja shinda Urais nchini nadhani ni matokeo ya mtaàla wa elimu wa zamani

    Shida sio hoja! Nani kashika kiti sasa hivi kutoka ni ngumu yani mpaka waamue wenyewe watoke kama hao E.U wameshindwa hasa nani ataweza!? CHADEMA kuja kushinda Urais labda Chama tawala kife.
  7. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania KERO Hii shule ya Bright Future Secondary iliyopo Msongola Walimu wake wanachapa sana Watoto, imekuwa kero, nawaza kumuhamisha mwanangu

    Muhamishe tu mwanao kwasababu jambo lolote likitokea baya kwake wewe ndie una hasara sio hao walimu, Nidhamu katika shule Tanzania ni kitu cha ajabu sana! Hawa walimu wanafanya watakavyo wao huko mashuleni na kero hii sio mara ya kwanza kutolewa na jamii, wazazi wengine hadi washapoteza watoto...
  8. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania USHAURI

    Basi jaribu kumuuliza ni kwanini anapenda ufanye hivyo kwake...
  9. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania USHAURI

    Umejaribu kumuuliza???
  10. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Ndoa ni msingi muhimu na imara, je, ni yupi mwanaume sahihi

    Umeongea kweli hapa.
  11. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Ndoa ni msingi muhimu na imara, je, ni yupi mwanaume sahihi

    Story inaonesha bado huelewi unachotaka kama kweli ndo unaitafuta huwezi ukaipata na hiyo mentality, unataka pesa sawa na wewe utaleta nini mezani? unataka kuolewa kwanini? Ndoa sio lazima usije ukaingia kwenye shida kwasababu ya ushawishi au kuiga. KIkubwa unataka huduma au Mapenzi? huwezi pata...
  12. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania 12 Killed, Nine Injured in Mass Shooting in Johannesburg

    Washaanza huko! kama kawaida yao hao yani hakuna namna ya kuwaokoa wa south bunduki ni chai
  13. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mwanaume Una Miaka 20 Mjini, Hata Kiwanja cha Miguu 5 Huna? Rudi Kijijini Ukalime

    Hamna asa kama una uwezo kwanini unatuambia sisi? hai make sense:EU:
  14. undeadbeast9

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mwanaume Una Miaka 20 Mjini, Hata Kiwanja cha Miguu 5 Huna? Rudi Kijijini Ukalime

    Kwasababu una uwezo wa kuongea haijalishi inabidi uongee, punguza maneno na ishi kivyako
Back
Top Bottom