Recent content by uncwasi

  1. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Graduation za shule private kuna utofauti mkubwa wa matabaka ya kiuchumi, nawaonea huruma wanaosomesha kwa kujinyima halafu watoto waje kusota kitaa

    Kama unaona ada ya 3m kwa mwaka ni kubwa basi unatakiwa upambane sana,kama apo ulipo umekaa amka uanze kutafta hela.Yani 3milion per year unaandika uzi kabisa.
  2. uncwasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Hizo mambo za fore play achana nazo,we ukifika ipenyeze chapu
  3. uncwasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtu akisema wanawake wa JF wamezeeka anakuwa amejuaje?

    Kwani uzee ni ugonjwa?.Hata binadamu aliyezaliwa leo baada ya miaka lazma azeeke.Hata kama unajiona upo 30 leo baada ya miaka 30 mingine we ni mzee kikongwe.Haina haja ya kuchekana.
  4. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Acheni upotoshaji: Kelly Doulla ni Muitaliano, sio Mcameroon

    Hakuna anayejali
  5. uncwasi

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hapa PolePole alikuwa anafurahia anayodanganya kuyaashangaa Leo!

    Unaijua vieite wewe,sasa amekosa ulaji anatupigia kelele
  6. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Hata kwa fei ilikuwa hivihivi
  7. uncwasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SEX ni Spiritual Energy Exchange. Tendo la kubadilishana nguvu za kiroho

    Africa is dark continent
  8. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Jua lina umri mkubwa kuliko dunia lakini maji ya duniani yana umri mkubwa kuliko umri wa jua

    Hivi vitu hutokaa uvielewe mpaka dunia inaisha
  9. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Nani kuvunja rekodi ya Mrema na Gambo Arusha?

    Karma is real kama huamini kamuulize gambo
  10. uncwasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa WANAUME unapenda mwanamke wa aina gani?

    Mwenye umbo kama la binti wa zamani
  11. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Nilivyo ibiwa kimaajabu

    Pole sana haya mambo yanatisha
  12. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Wataalam UDSM wagundua na kutangaza dawa ya Corona(Covid 19) inaitwa FUKIZA

    Tumetoka mbali bado hatujafika lakini tumechoka
  13. uncwasi

    JamiiForums Tanzania Msafara wa chief Godlove kwenda jimboni kyela

    Kwani hao wazee ndio wapiga kura?
Back
Top Bottom