mimi mwenzio nimeishi na mwanmke miaka kumi na tano halafu kanitoloka na vtu vyote ndani pikipiki mbil sola panel ya m moja nn wewe cmama songa mbele uc kumbuke ulivyotoa fikilia utapata getup ctend up boy
mwenzio nilipenda kisha nikatendwa nlifunga ndoa na bint wa kinyakusya na nikaishi nae miaka kumi na mbili leo hii katoloka na kilakitu kaniachia nyumba hivyo kwa xaxa napunga hewa cna haja na mababy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.