Recent content by Uncle Mabiki

  1. Uncle Mabiki

    Msaada wa haraka pesa ipo akaunti ya mahakama

    Wadau wa Sheria,Iko hivi Mimi kama msimamizi wa mirathi,nilifatilia mpaka Hela zikawa zimetumwa kwenye akaunti ya mahakama, warithi wakajaza zile form za mgao,tukambiwa tusuburi Hela zitaingia kwenye hizo akaunti za warithi Swali? Je inachukua muda gani mpaka mahakama kuingiza hizo pesa kwa...
  2. Uncle Mabiki

    Utaratibu wa kufatilia Mirathi uko vipi wakuu.

    Inachukua muda gani mahakama ikishapokea pesa kama Kila kitu kimekamilika kulipa wahusika,inachukua muda gani?
  3. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    SEHEMU YA SABA #ILIYOPITA Mimi:Ndo hivyo dada Dada:Njoo ndani tukaongee Nikawa nawaza mbona dada anataka tukaongelee ndani, #ENDELEA Baada ya kuingia ndani nikiwa nina hofu na kiu juu, ya kutaka Kujua nini anataka kuniambia dada Dada:Kwahiyo nini kimetokea Mimi:Ikabidi nianze tena kumwelezea...
  4. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    SEHEMU YA SITA #ILIYOPITA Mda kidogo namimi nikatoka kwenda sebuleni,nikamkuta dada na sumaiya #ENDELEA Nikakuta wanapiga stori pale sebuleni,nilivyofika pale nikajiunga nao kwenye stori,zilikuwa ni stori tu za kawaida, Muda ulikuwa umeenda sana,sumaiya akawa amemuaga dada,na kutoka...
  5. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    Leo zinakuja episode nyingi kaka
  6. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    SEHEMU YA TANO Basi nikamwambia Kuna kitu naomba tukifanye Sumaiya:kitu gani? Nikanyanyuka nikaenda kuchukua mafuta nikiwa Bado mtupu huku rungu likiwa Bado imara sana,nikarudi nikalala kitandani, nikamwambia chukua hayo mafuta nifanyie massage,akawa hataki hata kuniangalia, akanambia vaa...
  7. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    SEHEMU YA NNE #ILIYOPITA Angel: nilivyokuona jumamosi nilikupenda sana nilimuomba namba yako sumaiya Jana. #ENDELEA MIMI:nikawaza nikajua tu huu mtego,itakuwa ni sumaiya mwenyewe,ikabidi nimjibu.Ndo sumaiya kakutuma unijaribu Angel:Hapana kweli nakupenda sana Mimi:Hapana sema Ukweli...
  8. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    SEHEMU YA TATU Basi nikawa sina nongwa nilivyoambiwa majibu nitapatiwa kesho. Nikaamua kulala,kesho yake asubuhi,siku ya jumapili ndio siku jioni huwa narudi zangu hostel mabibo,basi nikashangaa asubuhi tu sumaiya huyu hapa,kwenye saa mbili kwenda tatu,kipindi hicho alikuwa dada tu peke...
  9. Uncle Mabiki

    Bado nampenda Sumaiya ingawa nimeshaoa - True Story

    Karibuni kwenye simulizi yangu ya maisha yangu ya kweli,Yenye Mapenzi na uchawi juu yake. Story inaanza mwaka 2018 nikiwa mwaka wa kwanza pale udsm main campus,mwaka huo nilikuwa mwaka wa kwanza,nilikuwa nakaa hostel za chuo pale mabibo hostel block D ,basi maisha yalikuwa yanasonga tu...
Back
Top Bottom