SEHEMU YA SITA
#ILIYOPITA
Mda kidogo namimi nikatoka kwenda sebuleni,nikamkuta dada na sumaiya
#ENDELEA
Nikakuta wanapiga stori pale sebuleni,nilivyofika pale nikajiunga nao kwenye stori,zilikuwa ni stori tu za kawaida,
Muda ulikuwa umeenda sana,sumaiya akawa amemuaga dada,na kutoka...