Wadau wa Sheria,Iko hivi Mimi kama msimamizi wa mirathi,nilifatilia mpaka Hela zikawa zimetumwa kwenye akaunti ya mahakama, warithi wakajaza zile form za mgao,tukambiwa tusuburi Hela zitaingia kwenye hizo akaunti za warithi
Swali? Je inachukua muda gani mpaka mahakama kuingiza hizo pesa kwa...
SEHEMU YA SABA
#ILIYOPITA
Mimi:Ndo hivyo dada
Dada:Njoo ndani tukaongee
Nikawa nawaza mbona dada anataka tukaongelee ndani,
#ENDELEA
Baada ya kuingia ndani nikiwa nina hofu na kiu juu, ya kutaka Kujua nini anataka kuniambia dada
Dada:Kwahiyo nini kimetokea
Mimi:Ikabidi nianze tena kumwelezea...
SEHEMU YA SITA
#ILIYOPITA
Mda kidogo namimi nikatoka kwenda sebuleni,nikamkuta dada na sumaiya
#ENDELEA
Nikakuta wanapiga stori pale sebuleni,nilivyofika pale nikajiunga nao kwenye stori,zilikuwa ni stori tu za kawaida,
Muda ulikuwa umeenda sana,sumaiya akawa amemuaga dada,na kutoka...
SEHEMU YA TANO
Basi nikamwambia Kuna kitu naomba tukifanye
Sumaiya:kitu gani?
Nikanyanyuka nikaenda kuchukua mafuta nikiwa Bado mtupu huku rungu likiwa Bado imara sana,nikarudi nikalala kitandani, nikamwambia chukua hayo mafuta nifanyie massage,akawa hataki hata kuniangalia, akanambia vaa...
SEHEMU YA NNE
#ILIYOPITA
Angel: nilivyokuona jumamosi nilikupenda sana nilimuomba namba yako sumaiya Jana.
#ENDELEA
MIMI:nikawaza nikajua tu huu mtego,itakuwa ni sumaiya mwenyewe,ikabidi nimjibu.Ndo sumaiya kakutuma unijaribu
Angel:Hapana kweli nakupenda sana
Mimi:Hapana sema Ukweli...
SEHEMU YA TATU
Basi nikawa sina nongwa nilivyoambiwa majibu nitapatiwa kesho.
Nikaamua kulala,kesho yake asubuhi,siku ya jumapili ndio siku jioni huwa narudi zangu hostel mabibo,basi nikashangaa asubuhi tu sumaiya huyu hapa,kwenye saa mbili kwenda tatu,kipindi hicho alikuwa dada tu peke...
Karibuni kwenye simulizi yangu ya maisha yangu ya kweli,Yenye Mapenzi na uchawi juu yake.
Story inaanza mwaka 2018 nikiwa mwaka wa kwanza pale udsm main campus,mwaka huo nilikuwa mwaka wa kwanza,nilikuwa nakaa hostel za chuo pale mabibo hostel block D ,basi maisha yalikuwa yanasonga tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.