Recent content by Uncle Ho

  1. U

    Freeman Mbowe: Alichokisifia Lowassa juu ya utendaji wa Rais Magufuli sio msimamo wa CHADEMA

    Sina hakika kama Mheshimiwa Mbowe aliyehojiwa na DW leo kuhusu ziara ya Mheshimiwa Lowasa ikulu alikuwa katika hali mzuri kifikra. Je alichosema Mheshimiwa Lowasa kuhusu mafanikio yaliyofikiwa ya serikali ya Rais Magufuli siyo halisi? Je upinzani kazi yake ni kuukataa ukweli uliopo? Je ni...
  2. U

    Hivi babake Nape alikuwa nani nchi hii?

    Kwa ujumla wake wa thread hii, tujitafakari kwa umakini. Je thread hii ina tija yoyote na kwa nani? Hatuna vyenye maana vya kuvijadili? Natoa hoja.
  3. U

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Nawasihi Watanzania wenzangu, tuweke akiba ya maneno. Asante
  4. U

    Familia ya Lissu yafunguka kuhusu dereva, inamfahamu kwa zaidi ya miaka 20

    Maelezo ya dreva kumpisha bosi wake katika kumuokoa yamekaa kinadharia zaidi kuliko kivitendo. Dreva amekuwa na akili ya kumuokoa bosi wake wakati washambuliaji wamefika na yeye alishawatilia mashaka! Kwa nini hakuwachenga kabla hajafika nyumbani say angekwenda sehemu yenye mkusanyiko wa watu...
  5. U

    Peter Msigwa: Spika Ndugai ona aibu, gharama za ndege ya kumleta Lissu Nairobi imelipwa na CHADEMA

    Requisition iliyoandikwa na Chadema kuomba kukodi ndege ili upewe invoice iliyooneshwa na Mhe Msigwa amesahau kuiambatanisha, nadhani itaambatanishwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. U

    Serikali ipunguze umri wa kustaafu kukabili changamoto ya ajira kwa vijana?

    Ni wazo zuri lakini kuongeza muda wa kustaafu kulitokana na 1. Kupanda kwa life expectance ya watu kutoka about 40/50 years to 60 (correct me). 2. Kulikuwa na kipindi ambacho ajira zilisimama (10 years not sure). 3. Kulikuwa na kipindi ambapo enrolment vyuoni zilisimama (10 years?). Hao...
  7. U

    Ilichokifanya mahakama kuu ya Kenya ni sawa na alichokifanya Jecha Zanzibar

    Jecha ni Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ambaye aliziona hizo dosari mapema na akachukua hatua stahiki ambapo ni za kurudi uchaguzi. Tume Huru ya Uchaguzi na Mpaka ya Kenya ilikuwa ni sehemu ya tatizo hivyo ilibidi kwenda mahakamani. So Jecha was more smart. Congratulations. Sent using Jamii Forums...
  8. U

    Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

    Nakupongeza sana kwa kuzingatia maadili, upo makini. Papuchi inaonwa na mteule wako au daktari inapobidi na si ya kuiweka bayana. Keep it up! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. U

    Kuna madhara gani mwanamke akinyoa nywele za ukeni kwa kutumia 'Magic'?

    Vipele vinatokea kwa sababu huna pattern ya kunyoa, nadhani ngozi ina pattern fulani kutegemea na musuli uliyonayo. Suala la pattern ya misuli lipo hata watati wa kuchoma sindano kama hutazingatia utapata madhara. Angalia zilivyo nyasi bandia kwanja cha mpira, nyoa vile hutapata madhara...
  10. U

    Wazee Wa Kazi!

    Ni Silvester Stallone (Rambo) na Arnold Schwartneegger wote wacheza sinema wa Hollywood, USA. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. U

    Rais Magufuli amuapisha Benedict Mashiba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi

    Naomba kuuliza, hivi tumefikia mahali pa watu kutaka kutambuana kikabila, kimaeneo nk. kila Mhe Rais anapofanya teuzi? Nadhani tunapaswa kumuunga mkono na kumpa moyo katika mambo ambayo serikali na chama chake cha CCM inachokusudia. Hilo ndilo naliona lina tija zaidi. Sent using Jamii Forums...
  12. U

    Verossa vs Brevis

    Wakuu naomba msaada wa namna ya kuchagua gari mzuri. Nimeiona gari aina ya Volkswagen kwenye mtandao nimependa kuinunua. Lakini pale kwenye dashboard kunaonekana vitaa viwili vya manjano na kimoja chekundu vinawaka. Je gari ni mbovu? Wajuzi wa masuala ya gari mnisaidie tafadhali.
Back
Top Bottom