wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 869
Mahakama kuu Kenya imefuta uchaguzi uliofanyika baada ya kugundua kulikua na dosari ,hivo hivo hata Zanzibar Jecha alifuta uchaguzi baada ya kugundua kua kulikua na dosari ,tatizo ni kwamba nabii hakubariki kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app