Mheahimiwa naye yupo busy huko mbeya mara "Tulia marathon" mara "Tukia Trust" anahangaika na kutengenez Mazingira ya kupambana na mheshimiwa sugu 2020...figisu nyingi sana..utafurahi mbona,wana mbeya!
Ukiziunga mkono harakati zake wala usiwe na shaka nazo mkuu....hawa wanaompinga ndiyo hao wanaunga mkono kupotea kwa watu,kuminywa kwa demokrasia na kufumbia macho upotevu wa 1.5 trillioni.
Sasa Mange amaekuwa mwiba kwao tena mkali haswa.
Huyu JPM aliyesema tutajitegemea tunajitegemea kwa kipi...
Ndiyo tattizo la watu wenye uelewa mdogo,huyu Magufuli ni Mungu kwamva asikosolewe?serikali kila inapokosolewa oooh huyu mtu kuna watu nyuma yake.
Wenye macho wanaona nchi ilivyo na inavyokwenda.
Sasa hao waluo nyuma ya magufuli nao wanafanya nini?kama wanamshauri hashauriki wafanyaeje?
Walio...
Hii serikali na viongozi wake si wa kuwaaamini hata kidogo..misuki ilivyomtoka Lukuvi bungeni,Zitto akamwambia hamna pesa nyie acheni uongo akabishaa..sasa bakuli la nini?
Ndiyo fikra zako potofu na wale wapiga deal wenzako wa 1.5 tri.
Mmelishwa kasumba kwamba maandamano ni ya kupindua nchi,
Hao chadema mbona hatujasikia wamejihusisha na kuratibu..mmebakia mnahaha usiku na mchana kukamata watu wasio na connection kama si kuhaha kitu gani?
Kawajambisha Mange peke...
Na ujute pia kututelea hili dude linatusumbua sasa hivi.Maana ndiyo lilikuwa chaguo lako ulimuendorse.
Hatuwezi kukusamehe kwa hili..maana nawe umechangia haya tunayopitia kwa sasa.
Njaa kitu kibaya sana sana..wanavyoona inahit basi wanaingia tamaa.
Wakina Aslay na Nandy walienda kuwaona wahusija kuomba ruhusa kabla ya kuirudia hii track.
Hawataweza hawa mafisiem!!hakuna dhambi mbaya kama umma ukikutaa wewe ukawa unalazimisha kukubalika.
Kama wanajiamini wanakubalika na utendaji wao kwanini wahangaike na mbinu chafu?
Maana ukijiamini kwamba unaitendea mambo mazuri jamii na yakaoneka,basi jamii haitajiuliza mara mbili kukuchagua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.