Mkapa: Najuta

Mkapa: Najuta

Vipi kuhusu zoezi la kugawana nyumba za serikali hajaliombea msamaha?
 
Mzee mkapa umeona sasa mamb yanavyokwenda? Maana inasadikika wewe ndo ulipeleka jina na ukahakikisha linapenya; tunaumia na inabidi tuanze kukulaumu wewe mzee wetu. Fanya kitu tafadhali hasa kwa watanzania wenzetu ambao wana mawazo mbadala wa uongozi wa nchi wanawindwa kama twiga msituni.
 
Na kama kulikuwa na rais mbishi mbabe na asiyeambilika yeye aliongoza.... and now I can see the reincarnation of him at this phase
Nakumbuka press yake ya kwanza wakati anawataja askari wake wa miamvuki; mbwembwe kibao.
 
Na ujute pia kututelea hili dude linatusumbua sasa hivi.Maana ndiyo lilikuwa chaguo lako ulimuendorse.
Hatuwezi kukusamehe kwa hili..maana nawe umechangia haya tunayopitia kwa sasa.
 
Tunaweza kudhani kaomba msamaha katika hali ya kawaida ya majuto ya kibinadamu, tunaweza kudhani kwamba kaamua kuwa muungwana na kufanya kitubio ili abaki na amani LAKINI katika picha pana ni salamu kwa Jakaya ni salamu za kutaka naye ajitokeze na kukiri pale alipokosea....halafu?

Ni salamu pia kwa Magufuri kwamba a jifunze kutokana na makosa ya watangulizi wake na kikubwa ASIKILIZE maoni ya wengine ASIKILIZE wananchi wanataka nini kwakuwa huko tuendako hakutakuwa na nafasi ya kuomba msamaha ukiwa jukwaani umevaa suti unasikilizwa bila kuhojiwa huku ukipigiwa makofi..!
Maneno kuntu sana !
 
Kama kuna kitu mwalimu alipinga kwa nguvu zote ni hili la kubinafsishwa kwa NBC Benki iliyokuwa ina mtandao mkubwa zaidi nchini (upo ushahidi kwenye hili)na mzimu wake unamuandama mpaka sasa

Mmmh Mzimu tena!!! unamuandama vip sasa kwani yeye ndio alihusika na kifo chake? wakati Babu alitafunwa na saratani ya damu
 
Yaani nimekurupuka mbio mbio kujua anajuta nini daah nilichotegemea sicho kabisa daaah nilijua anajuta kumpiga tafu Ngwa'nanzengo kutoka amavubi
 
Natamani tungekua tunaonana mbinguni watu wakiadhibiwa kwa makosa yao daah
 
Pumbavuuuu!
Yy na wabunge wake wa ccm ndio walio sababisha huu upuuzi nakumbuka kampuni ya Netgroup solutions ilikodishwa management ya Tanesco wengi walipinga sana Lakini mkapa akapeleka FFU kusimamia Netgroup solutions kuingia ofisini kwa nguvu ya mtutu baada ya wafanyakazi kuwakataa !
Halafu leo anaongea upuuzi !!
Natamani marais washtakiwe sheria iwekwe wazi ama wakiwa madarakani ama wakistaafu
 
Huyo naye alikuwa jambazi mwingine lakini haoni ndani kwa magufuli aliyekomba hazina zaidi ya trillion 3 ndani ya miaka mitano tu hapo hujagusa wizi na ufisadi wake awamu ya tatu na ya nne.
Kumsamehe hatuwezi mpaka aanze kurejesha mali alizo jibinafsisha kwanza. Hichi kilio cha mamba tu
 
Back
Top Bottom