Christian doctrine, Yesu alisurubiwa msalabani kwa ajili ya zambi zetu.
Yesu ndio njia ya uzima na kweli, ukibatizwa na kumfuata una uzima wa milele, haya ndio mafundisho ya Biblia, habari za motoni motoni hata ukimsikia mchungaji anahubiri ni kutisha watu tu lakini ukweli na msingi wa Ukristo...
Simba binafsi sijaridhika na majibu yako kwa dada Farijala wa Farijala
Sasa mimi naomba Arsis mwenyewe ndio ajibu swali hili au hata bakora atuelekeze miti shamba ya kuondowa nuksi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.