Recent content by unanitaka

  1. unanitaka

    Katazo la uagizaji vifaa vya umeme nje ya nchi laongeza idadi ya viwanda nchini

    Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amesema kuwa katazo la Serikali la kuagiza nje ya nchi vifaa vya kujengea miundombinu ya usambazaji umeme kama transfoma, nyaya, nguzo na mita za umeme, limeongeza idadi ya viwanda nchini na kupelekea vifaa hivyo kupatikana kwa wingi na ndani ya muda...
  2. unanitaka

    Bandari ya Mtwara kushusha bei ya mafuta kwa lita; kupokea mafuta tani za ujazo 8000 (lita milioni 9.6) ifikapo mwezi Septemba

    Imeelezwa kuwa Bandari ya Mtwara itapokea mafuta tani za ujazo 8000 (lita milioni 9.6) ifikapo mwezi Septemba mwaka huu ikiwa ni mara ya Pili kupokea shehena hiyo ya mafuta kutoka yaliposhushwa kwa mara ya kwanza mwezi Juni mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo tarehe 29 Agosti, 2018 na Kaimu...
  3. unanitaka

    Msikie Harmonize akiongea kiingereza! Ali Kiba ndo kashafunikwa tayari hivyo

    (Why ar u so obsessed with me! Girl i wanna know!) NI MANENO YA KIBA KWAKO MDADA!!!
  4. unanitaka

    Hebu tuzungumzie kidogo ishu ya Vanessa Mdee..

    Team mondi wagumu kuelewa kha
  5. unanitaka

    Leonidas Gama azikwa kijijini kwao Likuyu Fusi

    Usilitaje bure jina la Muumba wako.
  6. unanitaka

    Leonidas Gama azikwa kijijini kwao Likuyu Fusi

    Mwenyezi MUNGU akusaidie upunguze chuki na stress ulizonazo
  7. unanitaka

    Line ya Tigo-pesa inahitajika

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. unanitaka

    Maisha ya Diamond Platnumz ni mazuri na yenye furaha kuliko hata ya Profesa wa Tanzania

    Dunia Ni kama vidole kila mtu anapitia njia yake kuingiza kipato na kwa ukubwa tofauti. Maadam ni kipato halali, kila mtu aheshimiwe kwa hilo. mleta mada chunga ndimi yako.
  9. unanitaka

    Watu Wafurika kumuangalia Zari Mlimani City.

    Vigori wa bongo wanashangaa kuwa pamoja na pesa zote, watoto wa kutosha, uzuri wote. But mondi kamsaliti bila kuvaa mpira. Ningekuwa mwanamke kwa watoto hao nilionao, uzuri, pesa haha, mwanaume msaliti tupa kule.
  10. unanitaka

    Mapokezi Ya Zari The Boss Lady leo | Airport Kama Ifuatavyo

    Hata mi ningesogea kuona mwanamke mrembo ambaye boy wake hajaridhika na urembo na kumletea kiumbe kingine. Yani alimsaliti bila mpira hehe. Wanaumeee
  11. unanitaka

    Ifahamu Kiundani Dini ya Kibahai

    Utamu wa shule zao bana, no fimbo, mwalimu hawez thubutu kushika kiboko atafukuzwa yeye, but adhabu wanazotoa Ni za kukujenga kama kulima bustani, kufanya usafi n.k
  12. unanitaka

    Harmonize awamwagia Povu baada ya kupost video na mzungu wake jikoni

    Kaiga tabia za boss wake kutukana ma ex ili chat ipande. Washamba kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  13. unanitaka

    Kubenea amjibu Spika Ndugai, amwambia yuko Nairobi kushughulikia matibabu ya Lissu

    Wapoje Mkuu, nAtarajia kupata mke huko Sent using Jamii Forums mobile app
  14. unanitaka

    Je, team Kiba mmechoka kukesha youtube

    Fita ni fita muraaa. Ni kama team wcb kutoa pesa ili watu waende you tube. Hahaha unalipa ili udekuliwe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom