Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,761
- 5,247
UKIMWI UNAUADiamond Platinangwa kimbiiiiiiiiza
UKIMWI UNAUADiamond Platinangwa kimbiiiiiiiiza
Hamna kitu hewa tu hapa naonaDash mtoto mkali hatare
Wanatofautiana kwny utoaji, wengne wanatoa sana!Mkuu huna Dada nin? Kugawa gan unakozungumzia wakat hawa ni watoto wa kike na lazima wakutane tu na ayo mambo ya kugawa.
Hadi umriIla wote anaowabanjua hakuna anayemfikia Zari kuanzia ubongo hadi sura.
Sasa kama ziko za kutosha unafanyaje??Sifa kuu ya Watu wa kigoma (Waha) ni kutupia mimba sanaaa hilo lipo wazi..
Mondi endelea kudumisha mila Mpaka pumbou zitoe hewa..
[HASHTAG]#MwanaumeMgegedo[/HASHTAG]
Hadi umri
Maaana za watu kwa wazazi waoHlf mbn km mabinti wengi wagawaji baba zao ni jamii ya askari, kuna connection gn? au ndo mambo ya kuishi kota!
Ohoooooooo!!!!Ubuyu ni chakula ya kike!!! Wanaume wapo na wapi tukala Ubuyu!!!!! Nachukia mwanaume kukaaa na kuanza kujadili mambo ya watu!
Cleopatra wa Hance anamimba ya Mond huku Hance akichekelea.
Leo ndio nimeamini Diamond anapenda Maujiko sana.
Mbona mimi nishampitia huyo Tunda na sifanyi majisifa.
Naona kawaida tu maana haya yote yakupita.
Wengine tupo kama Alikiba hatupendi ShowOff.
haaa aroo wacha hiyoHivi Tunda ni mtoto wa Sabasita askari katili??
Embe linalopatikana kwenye mti wa mkoroshoTunda ndio nani?
Muongo aisee... nilisha itoa mie long timeHuyu binti si ashawahi kudai yupo sealed!!!
Dah sikujua kwa kwelindio.jeusi hivi refu
Ni Kazuri..Hapa Simba anaweza kugeuka Paka..LoLView attachment 624450huyu hapa.