Recent content by umumura

  1. U

    Kauli ya Rais Magufuli kuhusu ugunduzi mpya wa gesi aina ya Helium nchini

    Huge Helium Gas Field Found in Africa Is a ‘Game Changer’ June 28, 2016 There is currently a global shortage of helium (JOHANNESBURG) — The discovery of a huge helium gas field in East Africa is a “game changer for the future security of society’s helium needs” amid a global shortage...
  2. U

    January Makamba: CCM imeshashinda majimbo 176 mpaka sasa

    Hadi sasa Muungano wa UKAWA unaelekea kushinda majimbo zaidi 165 kwa mujibu wa Matokeo yanayokusanywa kutoka maeneo mbalimbali huku ikithibitisha mawaziri na Manaibu Waziri zaidi ya 13 wameangushwa kwa kishindo Ni vyema tume ya Uchaguzi sasa ikajiandaa kutangaza matokeo Rasmi kwa Haraka...
  3. U

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Halafu eti wanamtumia slaa kujaribu kuzuia mabadiliko hayo, eti wamemnunulia muda mwngine leo star tv usiku. Sisi hatuna muda wa kijinga kumsikiliza huyo mfa maji anayesaliti matarajio ya watanzania masikini wanaoteseka katika dimbwi la umasikini. Huyu jamaa anageuka na kuwa mtu hatari sana...
  4. U

    Wameshikwa Pabaya...

    Halafu eti wanamtumia slaa kujaribu kuzuia mabadiliko hayo, eti wamemnunulia muda mwngine leo star tv usiku. Sisi hatuna muda wa kijinga kumsikiliza huyo mfa maji anayesaliti matarajio ya watanzania masikini wanaoteseka katika dimbwi la umasikini. Huyu jamaa anageuka na kuwa mtu hatari sana...
  5. U

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Sina muda wa kijinga kumsikiliza huyo mfa maji anayesaliti matarajio ya watanzania masikini wanaoteseka katika dimbwi la umasikini. Huyu jamaa anageuka na kuwa mtu hatari sana hata kuliko mfumo wa kifisadi wa ccm. Anatumika kama condomu ili kufanikisha malengo ya wakoloni weusi wanaowatesa...
  6. U

    Hofu yatanda kwa viongozi wa CHADEMA baada ya Magufuli kukubalika

    SOMA HII, UKWELI UPO HAPA, ACHANA NA HIZO PROPAGANDA ZAKO ZA KITOTO. Serikali ya CCM imeamua kutangaza rasmi vita vya kuhujumu kampeni za UKAWA,walianza na kuzuia maandamano ya wafuasi wa UKAWA kumsindikiza mgombea wao wakati wa kutambulishwa,ikafuatiwa na kuzuiwa kwa Lowassa kutembelea katika...
  7. U

    Orodha ya ahadi za Kikwete kwa wananchi 2010-2015

    Nimekuwa nikisikitishwa sana na yanayoendelea katika nchi yangu kipenzi Tanzania. CCM, chama ambacho kimeshika dola kwa muda wote: kimekuwa ndio kikwazo kikubwa kwa maendeleo na ustawi wa nchi, na wananchi. Kimekuwa ni fursa ya watawala kujinufaisha wao na familia zao. Kimekuwa ni kikwazo kwa...
  8. U

    Kipima Joto ITV:UKAWA ni Sons Of Isaack

    Kwakweli hata mimi nimemsikiliza anaonekana anaroho wa MUNGU, anasema ukweli, amenokosha sana, maneno ya kinywa chake yanatia hamasa na matumaini!
  9. U

    Freeman Mbowe na Mawaziri vivuli wa CHADEMA ambao ni good for nothing

    Mleta uzi huu kama sio shabiki anayeparamia majukwaa ili kuhadaa, basi ni mbumbumbu na mzandiki aliyakuwa brainwashed na watu wenye akili na bila kujijua, na kudhani amesimama, kumbe ameanguka, anaegemea miti mikavu akidondoka kama puto lililojaa hewa likavimba likadhani limejaa ufahamu kumbe ni...
  10. U

    Dr. Slaa: Tunahitaji mwaka mmoja tu kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda

    That is what o have been always talking about, these these young piliticians are failing Mr i don't understand when they will wake up before the opportunity presented itself disappear.
  11. U

    M4C-OPD: Picha toka Bunda kwa Stephen Wassira

    Hakika,kitaelweka 2015
  12. U

    Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

    Ukitaka kujua uchafu na ufisadi wake fuatilia skendo za tenda za majeshi ya amani ya un kule darfur. Huyu mama sio tu ni kilaza, bali pia ni dhaifu, fisadi na asiye na talent ya uongozi. Hafai kuwa kiongozi labda mwalimu.
  13. U

    Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

    Ukitaka kujua uchafu na ufisadi wake fuatilia skendo za tenda za majeshi ya amani ya un kule darfur. Huyu mama sio tu ni kilaza, bali pia ni dhaifu, fisadi na asiye na talent ya uongozi. Hafai kuwa kiongozi labda mwalimu.
Back
Top Bottom