Recent content by umukagame

  1. umukagame

    Wanawake wengi wasomi na wanaojiweza kiuchumi

    Heshima kwenu wakuu, Mimi humu ni msomaji tu kwa muda sasa[emoji1787][emoji1787]Sijui na utu uzima au ni vipi Katika pita pita zangu nimegundua wanawake warembo/wasomi/wenye pesa wanateswa sana na mapenzi kuliko wanawake wa kawaida wasio na maisha Shida ni Nini, vijana mnawaonaje au...
  2. umukagame

    Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    Na wote wamekufa yeye na dadayake huyu MUNGU huyu
  3. umukagame

    Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

    Kwa huo mwandiko muache mtoto wa watu asome
  4. umukagame

    Rais Samia analala nje ya Ikulu?

    Au labda anatokea ikulu ndogo iliyopo uhindini kama sikosei
  5. umukagame

    Wabunge 19 wa CHADEMA watinga Mlimani City

    Hakuna takataka iliyo juu ya chama
  6. umukagame

    Mwambieni Rais Samia Suluhu Hassan

    Mwambie bibi yenu machozi ya watanzania maskini wanaonyanyasika yatamfata siku zote za maisha yake
  7. umukagame

    Tumuombee sana Profesa J

    Hana sukari
  8. umukagame

    Mfanyakazi wa Vodacom aeleza alivyochunguza Simu za Sabaya

    Hakuna kampuni iloyoko juu ya sheria, mahamaka ikishatoa warrant ya kuhitaji information za Muhusika hupindui. Tuwe makini katika matumizi ya simu
  9. umukagame

    Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

    Well said kumnyamazisha mdude labda umuue lakini huwezi kumnyamazisha
  10. umukagame

    Hukumu ya Mdude Nyagali ni tarehe 14/6/2021

    Jamaa alikuwa anakosoa kishamba Sana na tatizo lake elimu yake ndogo.huwezi mtukana mkuu we nchi hadharani ukabaki salama
  11. umukagame

    Ushauri: Kuna mwanaume nimempenda ila nina mpenzi ambae yupo nje ya nchi kikazi

    Wewe ndiye mtu pekee ambaye umenielewa mkuu na wewe unaelewa vizuri nature ya mwanamke na umenielewa vyema sana na umenishauli vizuri na umedadavua in deep thanks nimepata kitu hapa.
  12. umukagame

    Ushauri: Kuna mwanaume nimempenda ila nina mpenzi ambae yupo nje ya nchi kikazi

    Habari za wakati huu mabibi na mabwana Nimekuja live hapa napenda niwe very open. Nina mpenzi tunapendana ila yupo nje ya nchi kikazi. Kiubinadamu kuna wakati nakuwa bored na mpweke sana yes I need some one to be close na bla bla zingine. Hivi karibuni kuna jamaa mmoja nimekuwa na ukaribu nae...
  13. umukagame

    Tupeane tips za Valentine day

    Tchaaaooo. Heshima kwenu wana janvi. Kila mmoja tunafahamu Tarehe 14 ni siku ya wapendanao. Je kwa sisi ambao wapenzi wetu wapo mbali na kuonana ni vigumu unaweza ukamfanyia nini jamaa ukamfarijina yeye akajihisi kweli japo yuko mbali lakini we are together on this special day. Au nizawad gan...
  14. umukagame

    Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

    Hivi wengine huwa mnawezaje. Aisee me Nina kinyaa hatari
  15. umukagame

    Wakuu mitaa ya kujidai Dodoma

    Huwa asubuhi misa ya kwanza ndugu
Back
Top Bottom