umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 667
Habari za wakati huu mabibi na mabwana
Nimekuja live hapa napenda niwe very open.
Nina mpenzi tunapendana ila yupo nje ya nchi kikazi. Kiubinadamu kuna wakati nakuwa bored na mpweke sana yes I need some one to be close na bla bla zingine.
Hivi karibuni kuna jamaa mmoja nimekuwa na ukaribu nae kikazi. Nimuelezee kidogo. Ni mtu ambaye wengi wa wanawake akimuona atatamani kuwa nae, kuanzia title yake, muonekano wake na kila kitu.
Basi tumekuwa tukishirikiana katika kazi lakini siku za hivi karibuni amekuwa akinipa mialiko ya lunch and so on. Lakini huwa naignore, sijawahi kutoka nae wala kukaa kuongea zaidi ya mambo ya Kazi.
Siku mbili zilizopita akanicheki Kwa text kwamba ananihitaji, ilikuwa text fupi sana, sikuijibu.
Hapa niwe mkweli Mkaka nimempenda lakini nahisi kwake sintakuwa peke yangu na labda kanitamani tu anataka anitumie apite aniachie maumivu. Na mpenzi wangu wa nje ya nchi nampenda sana.
Nishaurini wakuu
Msinipopoe jamani haya mambo yapo sana au kwakuwa yenu hamuyasemi?
Nimekuja live hapa napenda niwe very open.
Nina mpenzi tunapendana ila yupo nje ya nchi kikazi. Kiubinadamu kuna wakati nakuwa bored na mpweke sana yes I need some one to be close na bla bla zingine.
Hivi karibuni kuna jamaa mmoja nimekuwa na ukaribu nae kikazi. Nimuelezee kidogo. Ni mtu ambaye wengi wa wanawake akimuona atatamani kuwa nae, kuanzia title yake, muonekano wake na kila kitu.
Basi tumekuwa tukishirikiana katika kazi lakini siku za hivi karibuni amekuwa akinipa mialiko ya lunch and so on. Lakini huwa naignore, sijawahi kutoka nae wala kukaa kuongea zaidi ya mambo ya Kazi.
Siku mbili zilizopita akanicheki Kwa text kwamba ananihitaji, ilikuwa text fupi sana, sikuijibu.
Hapa niwe mkweli Mkaka nimempenda lakini nahisi kwake sintakuwa peke yangu na labda kanitamani tu anataka anitumie apite aniachie maumivu. Na mpenzi wangu wa nje ya nchi nampenda sana.
Nishaurini wakuu
Msinipopoe jamani haya mambo yapo sana au kwakuwa yenu hamuyasemi?