Recent content by umeme

  1. umeme

    Kigwangalla: Mbowe mjinga, mpuuzi, ametia aibu na kushikishwa adabu...!

    Wewe uliye andika ndiyo mjinga na -------- tena huna akili
  2. umeme

    Kuanguka haraka kwa CCM na Hatari inayolikumba Taifa hivi sasa!

    ilo ulilosema la kura ndiyo lamaana lakini la msituni ninoma usiombee nibalaaa ndugu yangu
  3. umeme

    Kuanguka haraka kwa CCM na Hatari inayolikumba Taifa hivi sasa!

    hapo bwana nyerere utakuwa inakosea sasa ukiondoa utakuwa unamkosoa nani mm ninavyojua kwasasa nchi ipo mahali pabaya sana hivyo bwasi wewe mwenyewe umesikia kilicho tokea arusha hivyo basi tunge acha kwanza hili tulilo kuwa tunajadili ili tusije kuleta uchochezi usiyo kuwa na lazima maana kuna...
  4. umeme

    Kuanguka haraka kwa CCM na Hatari inayolikumba Taifa hivi sasa!

    Jamani mimi nazani mmeelewana tuachane nahii mada huku inako elekea ndiyo yata chochea vita vya wenyewe kwa wenyewe nani haijui ccm nani haijui chadema kwani vilianza leo jibu ni hapana hebu tujadili nijinsi gani tunavyo weza kupata hela leo na kuziendesha family zetu
  5. umeme

    Kuanguka haraka kwa CCM na Hatari inayolikumba Taifa hivi sasa!

    Tena ujiangaliye sana yeriko kuandika uwongo usiyo fanana hata na ukweli
  6. umeme

    Kuanguka haraka kwa CCM na Hatari inayolikumba Taifa hivi sasa!

    Mm bwana nyerere sikuungi mkono hata kidogo wewe mmh ccm itaendelea kudumu milele na milele fanyeni mnavyo jua kufanya lakini ccm itadumu tu hicho mnacho ringia kwa sasa hakita kuwepo kama mnavyo fikiria ulizeni kulikuwa na chama kina washabiki kama nccr mageuzi kipo wapi sasa kimekuja...
  7. umeme

    JK na CCM wamevunja KATIBA ya NCHI?

    Yericco mbona unapinga
  8. umeme

    Dalili kumi za kukuonyesha kuwa mwenzi wako ana-cheat...

    Naunga mkono hoja sina laziada
  9. umeme

    Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

    Yeye ndiyo ajui mapenzi kama anabisha aje. Nimpe mimi
  10. umeme

    Misemo ya Kizamani

    Nawapenda sana nyote mliyo jiunga na jf mungu awape uzima wamilele
Back
Top Bottom