Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Geita kinana kagawa vibali vya uchimbaji madini, hii ni kazi yake jamani?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kama kuna jambo lilinishitua, basi ni hili la kinana kutoa lesseni za uchimbaji madini kwa kweli hapa ndo sijaelewa kitu kabisa. Nafikiri haya ndo matokeo ya nchi kuongozwa na serikali dhaifu.
Geita kinana kagawa vibali vya uchimbaji madini, hii ni kazi yake jamani?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikabidhi leseni za wachimbaji wadogo machimbo ya Mugusu, Geita, katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo mkoani Geita. Jumla ya leseni 21 zilikabidhiwa kwa wachimbaji hao baada ya kutolewa na serikali ili kuwwezesha wachimbaji wadogo nao kunufaika na madini badala ya wachimbaji wakubwa tu.
Yericco mbona unapinga
Kwa walipofikia.. ciwezi kushangaa.. nadhani kuna mengine mengi tu watakuja nayo.. They'r desperate.. Wameua haijatosha.. wamesema uongo haujawasaidia.. Leo Kinana & co wamekuja na strategy hii ya kupoka madaraka ya serikali..