Hata hivo ni wendawazimu kutoa tamko la kufuta posho na kujidai kuelekeza eti zielekezwe kwenye miradi, na wadanganyika kama kawaida tunashangilia. Kama hili ndio lengo la serikali kuna haja gani ya kupeleka pesa ambazo hazina malengo maalum huko halmashauri? Kwanini usitoke waraka wa kufuta...
Sasa hapo ndugu yangu uozo wa polisi upo wapi? Kwani wao ndo wanazalisha vitabu vya risiti vya serikali? Mbona Uhamiaji walipokosa vitabu vya hati za kusafiria hukusema wameoza? Mimi nilidhani umechukuliwa pesa yako bila kupewa risiti kumbe wamekupa huduma waliokuwa na uwezo nao na kukueleza...
Tatizo kuna watu hawawezi kutofautisha rais na m/kiti wa chama, labda kwa vile vyeo hivi vinashikiliwa na mtu mmoja. Mtoa post unaposema nyie UVCCM mtachukua hatua unamaanisha hatua za kisheria za kulinda taasisi ya urais au hatua za kisisasa za kumlinda m/kiti wenu?
Kuna dada mmoja kajitambulisha kama mkurya wa kwanza kuimba taarabu, Kama hili jina sio yale ya wenye vyeti feki, basi wewe utakuwa mkurya wa pili kuimba taarabu! Hakuna mkurya tena mwanaume mwoga na mwenye maneno ya kike kama wewe Mura.
Mtoa mada umejichanganya sana japo umeonyesha toka mwanzo ukweli unauona, umeanza kwa kukiri kwamba kuna maadui wameongezeka, lakini unajitoa fahamu kwamba siasa za kusubiri makosa hazitatufikisha kokote, nilidhani utatueleza kwamba hakuna makosa tena kumbe unataka makosa yakiwepo yasisemwe...
Watanzania wengi kwa mtazamo wangu tunaangalia mambo kwa ufinyu sana, lakini ukweli upo wazi sana na unatushuhudia japo hatutaki kuuona. Vita nyingi katika nchi za kiafrika hazitokani na kukosa chakula, dawa hospitali, shule nzuri au huduma zozote za kijamii, kinyume chake, vita nyingi...
Kwa wanaojua sayansi ya siasa, hiki walichokifanya chadema ni mafanikio makubwa sana kwao, kwa jinsi tulivyoona hadi mwanasheria mkuu akiwa kwenye press, inamaanisha kwa sasa serikali itabidi ijiridhishe sheria zinasemaje kabla ya kufanya jambo. Siamini kwamba hawajui na ndio maana wametumia...
Mtoa uzi naomba nitofautiane na wewe, unachokisema kinaweza kuwa kweli lakini sio lazima kiwe ukweli. Katika press ya leo Chadema wanasema wapo tayari kwa mazungumzo, what if serikali ikakubali kubadilisha msimamo wao wakazungumza na kuruhusu mikutano? Nadhani wataacha kuandamana na huu unaweza...
Tatizo tuna wandishi makanjanja waliosoma vyuo vya kariakoo ambao hawawezi kuhoji kitu, wanashindwaje kumuuliza huyo waziri ''Afande '' kama katiba sasa haipo tena na nchi inaendeshwa kwa maagizo ya rais? Na kwa maelezo haya, waziri ''Afande '' haoni kama anakubaliana na kauli za Lissu?
Huyu bwana anapenda tu sifa za kijinga, hakukuwa na haja ya kuvaa gwanda hata kama analo nyumbani na ofisini. Ingeingia akilini kama angevaa yale ya kuzuia risasi kwa kuwa anakwenda kwenye tukio lakini sio uniform, anafanya maigizo tu na maisha ya hao askari waliokufa.
Mkuu umeoandika kwa kirefu lakini bado umekosa point kama mwanzo. Unapozungumzia dini kubwa, kabila kubwa, ukanda mkubwa na mengine kubwa akama ulivyoita; unareflect kile hata wengi wa wanaohitaji na elimu wanachoamini vinginevyo tuambie kama kabila, wanachama, na waumini wa dini ya mh Rais wote...
Poor reasoning! Unasema Rais anakubalika kwa wananchi, na baado unasema wananchi waelemishwe kuhusu wapi Rais kakiuka katiba! Huoni kwamba wewe mwenyewe unahitaji kuelimishwa? Kama kweli wananchi wanamkubali kwanini hao wanaotaka kuandamana wasiachwe waingie barabarani wakose watu? Nguvu zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.