Watanzania wengi kwa mtazamo wangu tunaangalia mambo kwa ufinyu sana, lakini ukweli upo wazi sana na unatushuhudia japo hatutaki kuuona. Vita nyingi katika nchi za kiafrika hazitokani na kukosa chakula, dawa hospitali, shule nzuri au huduma zozote za kijamii, kinyume chake, vita nyingi...