Hakika ajira ni sawa na hakuna hapa nchini kwetu baada kuona hilo nimethubutu kusajili company yangu - which is a full-oriented service provider, dealing with venue organization, management and consultation of a variety of events. Also to provide sound solutions by providing temporary and...
Napenda kutanguliza pongezi kwenu wasanii wa kizazi kipya a.k.a Bongo flavor kwa kazi nzuri ya muziki mnayoifanya kila siku hasa kwa kuielimisha jamii hasa kwa Watanznia na ulimwengu kwa ujumla.
Mimi ni mdau wa muziki japokuwa napenda nikiri kuwa sifahamiki sana kwa wanamuzi ni wachache sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.