Kwa kweli kufa kubaya lazima ujitahidi kujitetea hata kama unaona haiwezekani. Kweli mfa maji haachi kutapatapa. Poleni sana mwisho umeshafika hatuna jinsi lazima msome namba mwaka huu.
Unajua siku zote nilikuwa ninafikiria kuwa hupendi mambo ya CCMkumbe sio kweli. Kumbe ni mnazi sana wa CCM. Ndio maana nilikuwa ninapenda kusoma post zako kumbe ni hivyo.
Tafadhali BIG SHOW tuonyeshe kifungu gani cha sheria au katiba kinatambua mahakama za kanisa na zinagharimiwa na serilikali. Usipofanya hivyo tutakuona sawa na mav. tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.